Magori kabla ya kutafuta mbuzi wa kafara tuoneshe wachezaji wa billion 7

Magori kabla ya kutafuta mbuzi wa kafara tuoneshe wachezaji wa billion 7

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Kwamba Simba haiwezi kufungwa Hadi mchezaji mmoja auze Mechi?

Screenshot_2024-10-19-22-32-51-916_com.twitter.android.jpg
 
Wewe magori ndio ulikuwa na fungu la usajili na mmesema wachezaji wameighairm team billion 7. Sasa utuambie mchezaji gani wa billion pale Simba.

Kagoma tushaona mlimnununua kwa million 30.

Unataka kujifichia matokeo utueleze kabla akijanuka
 
Magol kawawahi mashabiki wa Simba ambao ni mbumbumbu wasijue tatizo liko wapi

Maana kama Asingeandika hivyo mda huu mashabiki wa simba mtandaon ingekuwa ni mangungu out

Like now wako kimiya hata hawajui waseme nini
 
Magol kawawahi mashabiki wa Simba ambao ni mbumbumbu wasijue tatizo liko wapi

Maana kama Asingeandika hivyo mda huu mashabiki wa simba mtandaon ingekuwa ni mangungu out

Like now wako kimiya hata hawajui waseme nini
Kwani hapakuwa na penati mbili za wazi hadi uzungumze uharo wako huo?

Kipi ambacho ameongea uongo kama ngao ya kujikingia? Faulo iliyozalisha goli ni ya mchongo hadi goli lenyewe.
 
Magol kawawahi mashabiki wa Simba ambao ni mbumbumbu wasijue tatizo liko wapi

Maana kama Asingeandika hivyo mda huu mashabiki wa simba mtandaon ingekuwa ni mangungu out

Like now wako kimiya hata hawajui waseme nini
Maaskini MAKOLO
 
Wewe magori ndio ulikuwa na fungu la usajili na mmesema wachezaji wameighairm team billion 7. Sasa utuambie mchezaji gani wa billion pale Simba.

Kagoma tushaona mlimnununua kwa million 30.

Unataka kujifichia matokeo utueleze kabla akijanuka
Ongezea Awesu milioni 50
 
Back
Top Bottom