muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
susieni ligi na mkafanye kazi nyingine.Kwani hapakuwa na penati mbili za wazi hadi uzungumze uharo wako huo?
Kipi ambacho ameongea uongo kama ngao ya kujikingia? Faulo iliyozalisha goli ni ya mchongo hadi goli lenyewe.