OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii timu ya Mwamedi inaelekea kwenye anguko kubwa sana
Nakubaliana na wewe hawa watu hawana uwezo kabisa. Wameishusha Simba kutoka nafasi ya 4 kwenye ligi mpaka ubingwa mara 4 mfululizo. Hawana watu wanaiharibu sana Simba. Simba sio timu ya kuwa 14 ranking za CAF ilitakiwa kuwa juu zaidi timu ya 56 huko.Magori ni chawa tu wa Mudi, hajawahi kua na uwezo Wala ushawishi katika mpira wa nchi hii.
Kwa Simba Lage alikua mtu smart na haitaji ujanja ujanja kufanikisha Mambo,awa wakina Magori, Hanspop, Try again nguvu yao ipo kwa Tff ukiwaondolea Tff hii, ni wepesi Kama karatasi.
ianguke mara ngapi,imeshajifia siku nyingi sana mwaka huu ni ya kuzika tuHii timu ya Mwamedi inaelekea kwenye anguko kubwa sana
Sawa kolo tumekuskiaYanga mpira wa mdomoni ni washind miaka yote,jezi kali wanatuzidi miaka yote ila uwanjani 0.
Magori ni chawa tu wa Mudi, hajawahi kua na uwezo Wala ushawishi katika mpira wa nchi hii.
Kwa Simba Lage alikua mtu smart na haitaji ujanja ujanja kufanikisha Mambo,awa wakina Magori, Hanspop, Try again nguvu yao ipo kwa Tff ukiwaondolea Tff hii, ni wepesi Kama karatasi.
Sawa kolo tumekuskiaView attachment 1912000
Kwani nani bingwa maranyingi zaidi, tumia akili kidigo tu, huu uwezo mmeupata baada ya mwamed kuweka chenji hapoYanga mpira wa mdomoni ni washind miaka yote,jezi kali wanatuzidi miaka yote ila uwanjani 0.
Kwani si walikuwepo before walifanya nini bila mwamed hawana chichote.Nakubaliana na wewe hawa watu hawana uwezo kabisa. Wameishusha Simba kutoka nafasi ya 4 kwenye ligi mpaka ubingwa mara 4 mfululizo. Hawana watu wanaiharibu sana Simba. Simba sio timu ya kuwa 14 ranking za CAF ilitakiwa kuwa juu zaidi timu ya 56 huko.
Wafukuzwe Simba hawa kina Magori
Muda utaamua...,Hii timu ya Mwamedi inaelekea kwenye anguko kubwa sana
"Rage alikua mtu smart"sasa mtu smart gani ajui hata namna ya kusajili?,alienda Congo akapiga picha na Mbuyu Twite keshamsajili kumbe alikua hajijui kama hajui,wenye kujua kusajili wakamchukua Mbuyu na pesa za Rage zikaenda na maji.Magori ni chawa tu wa Mudi, hajawahi kua na uwezo Wala ushawishi katika mpira wa nchi hii.
Kwa Simba Lage alikua mtu smart na haitaji ujanja ujanja kufanikisha Mambo,awa wakina Magori, Hanspop, Try again nguvu yao ipo kwa Tff ukiwaondolea Tff hii, ni wepesi Kama karatasi.
Mabingwa wa kihistoria sio , utopolo ni utopolo tu.Kwani nani bingwa maranyingi zaidi, tumia akili kidigo tu, huu uwezo mmeupata baada ya mwamed kuweka chenji hapo
Bingwa mara nyingi ni sehemu yenu muhimu ya kujifariji.mnapokosa ubingwa hili neno huwa linatamkwa sana.Kwani nani bingwa maranyingi zaidi, tumia akili kidigo tu, huu uwezo mmeupata baada ya mwamed kuweka chenji hapo
Lage uwezi mfananisha na ao chawa, Lage hakuwa na pesa za MO lakini Simba ili tisha Lage hakupulizia wapinza dawa za kuwanyong'onyesha, Lage hakutumia Mapaka kushinda mechi, Lage hakutumia covid test kuwa nyong'onyesha wapinzani, kuhusu wachezaji Ao Chawa wa MO wamezidiwa Ujanja na Yanga kwenye usajili wa Djuma Shabani, Khalid Aucho, Dikson Ambundo Tena Chawa wakiwa na Mbeleko ya Mudi."Rage alikua mtu smart"sasa mtu smart gani ajui hata namna ya kusajili?,alienda Congo akapiga picha na Mbuyu Twite keshamsajili kumbe alikua hajijui kama hajui,wenye kujua kusajili wakamchukua Mbuyu na pesa za Rage zikaenda na maji.
Nazan unaumwa na mavi mkuuMagori ni chawa tu wa Mudi, hajawahi kua na uwezo Wala ushawishi katika mpira wa nchi hii.
Kwa Simba Lage alikua mtu smart na haitaji ujanja ujanja kufanikisha Mambo,awa wakina Magori, Hanspop, Try again nguvu yao ipo kwa Tff ukiwaondolea Tff hii, ni wepesi Kama karatasi.