Magori: Maingizo mapya ni balaa,ahofia kupokonywa Banda

Magori: Maingizo mapya ni balaa,ahofia kupokonywa Banda

Nakubaliana na wewe hawa watu hawana uwezo kabisa. Wameishusha Simba kutoka nafasi ya 4 kwenye ligi mpaka ubingwa mara 4 mfululizo. Hawana watu wanaiharibu sana Simba. Simba sio timu ya kuwa 14 ranking za CAF ilitakiwa kuwa juu zaidi timu ya 56 huko.

Wafukuzwe Simba hawa kina Magori
Hili jamaa jinga Sana,watu wa akina Magori ni wazoefu waliokwishawahi kuongoza taasisi kubwa. Hanspope Ni mfanyabiashara na kiongozi Alafu wanajua vizuri mpira. Ndio maana Simba hufanyaga usajili wa uhakika.

Wao wanategemea wauza sura wakina Hersi hawajui chochote wanaenda kuokota wachezaji ndombolo Alafu wanailalamikia tff
 
........................................................................................................
 
Hili jamaa jinga Sana,watu wa akina Magori ni wazoefu waliokwishawahi kuongoza taasisi kubwa. Hanspope Ni mfanyabiashara na kiongozi Alafu wanajua vizuri mpira. Ndio maana Simba hufanyaga usajili wa uhakika.

Wao wanategemea wauza sura wakina Hersi hawajui chochote wanaenda kuokota wachezaji ndombolo Alafu wanailalamikia tff
Mkuu, umeiona ndombolo unavokua??
 
........................................................................................................
[emoji23][emoji23]
giphy.gif
 
Back
Top Bottom