Magufuli ainyang'anya tena Kenya fursa, kama alivyofanya katika bomba la Uganda.

Sasa hiyo ndiyo vizuri, nilifundishwa kifaransa na mwalimu ambae hajui kiswahili na English anaongea broken yani akija mnakua makini na muda mwingi anatumia kifaransa, faster class watu tukawa kama tuko Paris.
If it works itakuwa poa zaidi
 
Unamaanisha hicho kizungu cha kinyang'au? Ha ha ha, wasauzi hawana shida hiyo.
Namaanisha kwenye process ya kutafsiri mtu asipowlewa neno la kiswahili wanatafairiwa kwa kizungu as kenyan ticha atakuwa anajua kizungu na kiswahili vzur
 
Aah wapi, kazi kuiga tu, mbona hizi fursa zilikuwepo kabla ya Kenya kuzichangamkia? Kenya ndio baba yao A.M. tukifanya lolote mnafatilia kwa umakini wa hali ya juu ili mjifunze. Hamna idea, mpo mpo tu.
Hivi ulishaona Tanzania inakuja kujifunza kitu kwenu!!!? Zaid nyie ndio huwa mnakuja kujifunza tz mfano brt.
 
smart on what exactly copy pasting Kenya's projects or succumbing to every investment conditions just to beat Kenya,?
Kwani tumewacopy kitu gani maana ka sgr ya kwenu na ya kwetu ztakua tofauti ..
Ya tz ya umeme na ya Kenya ya diesel..sasa tumeiga nn wakati ni vitu viwili tofauti
 
Kwani mlima Kenya una barafuu!?? Hahahaa huo wizi nyie mlizaliwa nao
 
 
Kwani tumewacopy kitu gani maana ka sgr ya kwenu na ya kwetu ztakua tofauti ..
Ya tz ya umeme na ya Kenya ya diesel..sasa tumeiga nn wakati ni vitu viwili tofauti
tulijenga yetu then you thought of outshining Kenya by building an electric one.,,trust me your government will not deliver an electric sgr.,,poor planning
 
tulijenga yetu then you thought of outshining Kenya by building an electric one.,,trust me your government will not deliver an electric sgr.,,poor planning
Tunajenga kwa matakwa ya wateja wetu na future ya vizazi vyetu it has nothing to do with ur sgr..
By the way tz hashindani na mtu yeyote.. Tunafanya ya kwetu kwa mahitaji yetuu anko
 
k
Tunajenga kwa matakwa ya wateja wetu na future ya vizazi vyetu it has nothing to do with ur sgr..
By the way tz hashindani na mtu yeyote.. Tunafanya ya kwetu kwa mahitaji yetuu anko
keep telling yourself that maybe you'll believe it
 
tulijenga yetu then you thought of outshining Kenya by building an electric one.,,trust me your government will not deliver an electric sgr.,,poor planning
Lamba lolo...et poor planning hahahaa..
Hivi kati ka reli inayofika hadi Rwanda na tunawaza kuipeleka na Uganda na reli yenu iloishia porini nan ana poor planning??? Akili kwel ni nywele ila wee utakuwa unauparaa
 
Haya waalimu ajira ndio hizo, ila ulinzi unatakiwa huko kwani mambo ya xenophia sio poa.
 
Lamba lolo...et poor planning hahahaa..
Hivi kati ka reli inayofika hadi Rwanda na tunawaza kuipeleka na Uganda na reli yenu iloishia porini nan ana poor planning??? Akili kwel ni nywele ila wee utakuwa unauparaa
lamba lolo is a kenyan phrase na sio kiswahili sanifu.,,haha see the copying am talking about
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…