Melvin 16
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 483
- 500
Hahahaaaaaaaa nimecheka sanaaNdo mnataka kufundisha watu kiswahili wakati misamiati hamjui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaaaaa nimecheka sanaaNdo mnataka kufundisha watu kiswahili wakati misamiati hamjui.
If it works itakuwa poa zaidiSasa hiyo ndiyo vizuri, nilifundishwa kifaransa na mwalimu ambae hajui kiswahili na English anaongea broken yani akija mnakua makini na muda mwingi anatumia kifaransa, faster class watu tukawa kama tuko Paris.
Namaanisha kwenye process ya kutafsiri mtu asipowlewa neno la kiswahili wanatafairiwa kwa kizungu as kenyan ticha atakuwa anajua kizungu na kiswahili vzurUnamaanisha hicho kizungu cha kinyang'au? Ha ha ha, wasauzi hawana shida hiyo.
Hivi ulishaona Tanzania inakuja kujifunza kitu kwenu!!!? Zaid nyie ndio huwa mnakuja kujifunza tz mfano brt.Aah wapi, kazi kuiga tu, mbona hizi fursa zilikuwepo kabla ya Kenya kuzichangamkia? Kenya ndio baba yao A.M. tukifanya lolote mnafatilia kwa umakini wa hali ya juu ili mjifunze. Hamna idea, mpo mpo tu.
Kwani tumewacopy kitu gani maana ka sgr ya kwenu na ya kwetu ztakua tofauti ..smart on what exactly copy pasting Kenya's projects or succumbing to every investment conditions just to beat Kenya,?
Haha! 😀 Alafu usidhani ni mzaha. Umenikumbusha tukio lengine lililonishangaza mno na ambalo sikutaka kuamini kwamba ni kweli. Rais U.K alitoa kadi ya kuwatakia wakenya heri na fanaka za krisimasi/mwaka mpya 2017 kutoka ikulu, kama ilivyo kawaida kila mwaka. Watz wakazua vurugu mitandaoni wakisema kwamba background ya picha ambayo ilikuwa ni Mlima Kenya eti ni Kilimanjaro. Mzee wa mikwara naye akakurupuka kama kawa, na watz wakapata kadi yao ya kwanza kutoka ikulu.
Copy and paste mbovu hadi niliona aibu kwa niaba ya majirani. Hivyo ndivyo mambo yalivyo. Mungu awabariki wakenya wenzangu, wazidi kuwa watu wanaojiamini, wabunifu na wenye moyo wa kudhubutu.![]()
Ndo mnataka kufundisha watu kiswahili wakati misamiati hamjui.
[/QUOTE)
nani kakwambia hatujui.,,you think when kenyans use sheg to communicate they write sheg in exams.,,,? Nyinyi ni wale watu wa kuemphasize things that cannot help you in life kama 'kaakaa gumu na kaakaa laini shit'
tulijenga yetu then you thought of outshining Kenya by building an electric one.,,trust me your government will not deliver an electric sgr.,,poor planningKwani tumewacopy kitu gani maana ka sgr ya kwenu na ya kwetu ztakua tofauti ..
Ya tz ya umeme na ya Kenya ya diesel..sasa tumeiga nn wakati ni vitu viwili tofauti
Tunajenga kwa matakwa ya wateja wetu na future ya vizazi vyetu it has nothing to do with ur sgr..tulijenga yetu then you thought of outshining Kenya by building an electric one.,,trust me your government will not deliver an electric sgr.,,poor planning
Ninawashauri wakenya waungane na kufanya kazi na Magufuli badala ya kushindana naye.
TUKI ndo baba la mababa wa Kiswahili,Na Rwanda nao officially wameachana na Kifaransa Lugha yao sasa ni Kiswahili..Ngoja nikaombe kazi ya kufundishwa Rwanda https://www.watchdoguganda.com/news...rops-english-french-in-favour-of-swahili.html
Kwa Neema Za Mwenyenzi Mungu Kama hizi Nahamia kabisa Rwanda
View attachment 1108760View attachment 1108761View attachment 1108762
keep telling yourself that maybe you'll believe itTunajenga kwa matakwa ya wateja wetu na future ya vizazi vyetu it has nothing to do with ur sgr..
By the way tz hashindani na mtu yeyote.. Tunafanya ya kwetu kwa mahitaji yetuu anko
Lamba lolo...et poor planning hahahaa..tulijenga yetu then you thought of outshining Kenya by building an electric one.,,trust me your government will not deliver an electric sgr.,,poor planning
lamba lolo is a kenyan phrase na sio kiswahili sanifu.,,haha see the copying am talking aboutLamba lolo...et poor planning hahahaa..
Hivi kati ka reli inayofika hadi Rwanda na tunawaza kuipeleka na Uganda na reli yenu iloishia porini nan ana poor planning??? Akili kwel ni nywele ila wee utakuwa unauparaa
Mliona walimu wetu wamekubaliwa kuenda huko sasa mkafuata pia mpewe nafasi. Nyinyi mnapenda kushindana na KE sana.Ndio sababu wanamchukia sana
lamba lolo is a kenyan phrase na sio kiswahili sanifu.,,haha see the copying am talking about
That's why underdevelopment itazidi kwa hawa majirani wetuMliona walimu wetu wamekubaliwa kuenda huko sasa mkafuata pia mpewe nafasi. Nyinyi mnapenda kushindana na KE sana.
I thought you despise sheng and now you are using itNajua ni phrase ya Kenya na nimekuandikia hiyo ili uelewe vizuri..