Magufuli ainyang'anya tena Kenya fursa, kama alivyofanya katika bomba la Uganda.

Magufuli ainyang'anya tena Kenya fursa, kama alivyofanya katika bomba la Uganda.

Hahahahaha, Leo mnakataa kwamba hamtangazi Kilimanjaro zaidi ya mlima wenu?, Hahahahaha kweli ninyi ni kichaa, onyesha ndege gani ya KQ iliyoandikwa Mt. Kenya. Kama mnautangaza zaidi, kwanini watalii wanazidi kuja Kilimanjaro wakitokea Nairobi badala ya kwenda mt.Kenya?. Hahahahaha, Hahahahaha
Japokuwa nia ni hiyo Actually si kweli ati Watalii wanakuja wengi Mt Kilimanjaro toka Nairobi!
 
Nimeuliza Anko au kuuliza ni ujinga??? Sijawai ona picha ya mt Kenya so sidhani ka kuuliza nimekosea
Uliuliza au ulisema? Hadi ukamalizia kwa kusema kwamba tumeiba 'barafu' yenu! Kumbe hujaelimika na wala huna ufahamu msingi wa jeografia ya Afrika?
Kwani mlima Kenya una barafuu!?? Hahahaa huo wizi nyie mlizaliwa nao
Kuuliza sio ujinga ila ujuaji wa peni mbili ni upimbi flani wa hali ya juu.
Kenya-.Mount-Kenya-National-Park-2.jpg
Hii ndio hali juu kileleni Ml. Kenya.
 
Shida nini sasa si mkomae na mlima wenu hahahahahaha... ugly mountain ahahahaha
Uliuliza au ulisema? Hadi ukamalizia kwa kusema kwamba tumeiba 'barafu' yenu! Kumbe hujaelimika na wala huna ufahamu msingi wa jeografia ya Afrika? Kuuliza sio ujinga ila ujuaji wa peni mbili ni upimbi flani wa hali ya juu.
Kenya-.Mount-Kenya-National-Park-2.jpg
Hii ndio hali juu kileleni Ml. Kenya.
 
Pengine ungeshangaa vile Mlima Kilimanjaro upo kwenye hiyo background ya hao wezi wawili,
Even Kenyan president and His Deputy are thieves, What a failed state[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Unaumwa, mimi nilishangazwa na copy and paste mbovu ya rais wenu. Hebu tizama hizo picha mbili alafu uniambie kama hio milima inafanana.
 
Hivi Yale MAGARI na wale punda mliosema wataanza kubeba Yale mafuta toka Lokachiar hadi Mombasa wameshaanza, au lile BOMBA mlilosema mtajenga baada ya Magufuli kuwapiga bao, tayari mlishakamilisha, Hahahahaha.
Mkuu pale pia walipigwa changa la macho, mafuta hayatoshi. iliwapate faida lazima wazalishe pipa laki nee kwa siku, ila sasa inaonekana wanazalisha 80,000 tu. hamna kitunpale
 
Uliuliza au ulisema? Hadi ukamalizia kwa kusema kwamba tumeiba 'barafu' yenu! Kumbe hujaelimika na wala huna ufahamu msingi wa jeografia ya Afrika? Kuuliza sio ujinga ila ujuaji wa peni mbili ni upimbi flani wa hali ya juu.
Kenya-.Mount-Kenya-National-Park-2.jpg
Hii ndio hali juu kileleni Ml. Kenya.
Sio MT Kenya hii picha!
 
This is exactly where he goes wrong.,He should put tz interests first not do everything it takes to bed the kenyans just like your sgr.,,trust me your sgr will never make profit not at least after 10yrs.,,poor planning just to beat the kenyans.,,

Ahaaa haaa haaa
Yours is now making a profit.

Ours is already making profit (even if is not operating) coz is subsidised by injecting money from (vgf). Its finances will always add up.
 
Tatizo mnashindana na nchi ambazo Tanzania na nchi hizo walimwanga damu yao. SA Watanzania wengi walifia huko. Uganda ni wakufa na kupona. Mseveni ni Mtoto wa Mwalimu
 
Ahaaa haaa haaa
Yours is now making a profit.

Ours is already making profit (even if is not operating) coz is subsidised by injecting money from (vgf). Its finances will always add up.
keep telling yourself that
 
Back
Top Bottom