ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
Haitatokea kaka endeleeni ku sign MOU 😆😆😆😆😆 wakati sisi tunaenda direct kumaliza shughuli na namibia wamekubali na zimbabwe pia 👏👏👏👏 ama kweli magu chumaPunguza dose jombaa, walimu wa Kenya watatua RSA upende usipende, hiyo ni fact ambayo haitabadilika hata ukijitia hamnazo au ufunge na kuomba. Tena kazi yao wataifanya bila ya kumtazama yeyote yule kama tu serikali yao ilivofanya ilipofanikisha fursa hiyo kwao. Its the Kenyan way, but do we say.