Mbeya hatutaki kuisikia CCM kabisa
Sidhani kama upo sahihi kusema kuwa Magufuli ni mtu wa visasi
Si ni bora fuvu hata watafiti wangalifaidi....CHAMA CHA MAPINDUZI KIMEFIA MIKONONI MWA JK,KINANA,MANGULA,NA NAPE...to hell..Ccm imebaki fuvu tu
vizuri hao km wanaakili wangemkataa ndani ya box.. lakini huko ni kuonesha kuwa lowasa anasapoti ya wahuni pekee...
Hii you video nimeiona kwenye Whatsapp,ni aibu kubwa sana.
Mpango wao nikuiba kura. Mmeona wanavyobadili viongozi wa tume ya uchaguzi? Nawaomba viongozi wa ukawa wawe makini na mbinu hizi chafu za ccm. Kiuhalali ccm haiwezi kushinda mwaka huu. Tupige kura, tufuatilie matokeo kutoka katika kila kituo, tulinde kura zetu na tudai zitangazwe kwa uhalali.