Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

hamuezi kufanya uhuni na upuuzi then mkajusifia kuwa ni nguvu ya umma.nguvu ya umma haiwezi kuwa ya kitoto namna hiyo ,ila tukubali tukatae magufuli ndiye rais wetu na huo ni ukweli ambao watu wengi ahataki kuusikia
 
hao wazomeaji wasifikiri makufuli ni jk,kwamba atapotezea tu

Hii unamaanisha yale yanayosemwa kuhusu visasi vyake ni dhahiri ama???

Ukikutana na JK muulize Musoma na Mara kwa ujumla tulimkosea nini???
 
Kama kweli kazomewa ebu tuwekeeni picha tujiridhishe, vinginevyo tutachulia kuwa huo ni unafiki
 
mbeya leo asubuhi alipokuwa anaenda mbarali wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni lowassa

sina hakika kama mtoa post amefikiri sawasawa kabla ya kutuma hii post, kwasababu kwa mtu mfuatiliaji wa habari lazma atagundua kuwa magufuli hakua na mkutano wowote mkoani mbeya wala hakusimama kuzungumza na watu wambeya kabisa. Magufuli alikua makambako na hakuzomewa kabisa na watu leo, hizi propaganda za washikwa viuno sio za kuzingatia kabisa.
Jaribuni kuleta vitu vyenye mashiko kwa wote au kwa kundi flani.
 
Last edited by a moderator:

Vp kuhusu upigaji wa push up
 
pia ifahamike kuwa katika nchi kubwa kama hii yenye vyama vya siasa zaidi ya 20, ni vigumu watu wote kukupenda au kukukubali....ndio maana tunakutana na mambo kama kupingwa, kukataliwa sehemu flani flani. Hivyo mwenye kushadadia mtu kuzomewa jaribu kupanua fikra na sio mdomo.
 

Kumbe wanajua nn cha kufanya ili kupunguza gharama ya maisha na bado hawakufanya Kwa kipindi chote hicho. Kazi imewashinda pumzikeni
 
tunazijuwa sinema zenu, Tutamchagua Magufuli kwa kura nyingi coz tunajuwa lowasa anavyojiandaa kwenda kutufanyia biashara ikulu, mpeni salam tumeshtuka.

Labda wewe na mumeo.

Vote for UKAWA; vote for Lowassa.
 

Vurugu unaileta wewe kwenye video hamna vurugu bali kuna kinyume cha kushangilia.
 
Kwa nini NEC wanaruhusu mtu kupiga kampeni sehemu ambayo hana Ratiba haya mambo yatasababisha Vurugu
 

Duuuuh kweli wewe hamnazo
 
hiyo ni kazi ya kitoto maana watu hawa wameandaliwa kuzomea hivyo kwetu wala sio tatzo tunajua muda utafika na ndipo mtakapokuja kujua kuwa magufuli ndio rais wetu
 
Mbeya hatutaki kuisikia CCM kabisa




wezi wa mali ya umma, watumishi wazembe, wababishaji na wale wote waliowekwa madarakani kwa bahati bahati wakati wa utawala wa mr ziro; pia kile kikosi kazi cha watu waliokosa muelekea makupe wakubwa na wanene waliowekwa madarakani na mmasai pori tunafahamu kuwa roho ziko juu na mnapumulia mkiwa ICU kwa sasa...wakati wa ukombozi ni huu mtajitambua tu.....tinga tinga litawashughulikia wote. hapa kazi tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…