mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,291
- 342
Kweli wewe ulivyo jitambulisha kuwa mfungwa ni kweli akili yako imefungwa haiwezi kufikiri kwa mapana na marefu na unapaswa kuondoa akili yako kifungoni.Badilika uwe huru kifikra.
Ndio maana alijiita mfungwa wakati lowasa akiwa Ccm. Amekuja kwangu pole sikai na mwizi mimi ni mzalendo halisi na mtanzania original. Siwezi kumpa kura mwizi. # hapa ni kazi tu.
