Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia amesimamishwa Mara kumi na wananchi na ameongea nao wkt huo huo amefanya mikutano mitano inakujaje hapo ukipiga hesabu za muda?Ni maagizo tu
Nilichoona hapa nikundi la watu wachache sina shaka waliandaliwa vizur kuzomea gud job Chadema, kwann mnatumia nguvu kubwa kuwapotosha vijana? Kama mnauzika why mnafanya haya? Alafu mlijiandaa na kuchukua video ili upotoshaji uendelee si wote niwajinga ati.
kama viroba vimekushinda jaribu gongo labda. maana akili zenu mashoga haziwatoshi.
kupitia coup d'etat au?
Umepotea, hata uandishi wako inaonekana wewe na viroba mnafanana.
mkuu namuombea kura kwako mh.lowassa.moyo wangu ulikuwa unampenda lowasa akiwa ccm, sasa yupo ukawa hapo tu nashindwa nifanyeje, yaan tuna mtihani mgumu mwaka huu
Hii issue ya kusimamishwa na wananchi hata mimi nilishaishtukia kuwa ni maigizo.
Leo yamewa backfire....
Kawaida tu si ndiyo siasa hiyo! Ni ili demokrasia ijidhihirishe. Mwisho wa siku waliomzomea watashindana kupanga foleni za walau kuomba dk 5 waongee naye ili akatembelee maeneo yao. Na huo ni wakati atakapokua akimeremeta kama mhe. Mkuu wa kaya
Kumbe Mbeya kuna wajinga wengi eeh!
Teh teh teh!!hao wazomeaji wasifikiri makufuli ni jk,kwamba atapotezea tu
hao wazomeaji wasifikiri makufuli ni jk,kwamba atapotezea tu
Uwongo wenu mwisho October 25. Leo magufuli yupo Iringa wilaya ya Mufindi pole Sana kajipange upya