Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Mbeya magufuri unalazimisha tu tulikuzomea mwanjelwa umerudia tena umerudia tena safari hii mawe
huo mkoa utadumaa sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya magufuri unalazimisha tu tulikuzomea mwanjelwa umerudia tena umerudia tena safari hii mawe
Endelea kujipa moyo.....inasaidia kipunguza maumivu
Yaani mkuu mimi hapa mpaka natetemeka sijui nitasema nini kwa mchepuko wangu wa Nairobi, nitaficha wapi sura yangu mie huyu jamaa akialikwa Kenya? Kazi tunayo. Kwa Mkapa alinisaidia sana kutembea kifua mbele hata kwenye vikao vyetu na wa-Kenya walikuwa wanatuheshimu wakisikia tu jinsi zee lilivyokuwa linamwaga kilichonyooka!! Sasa hii habari ya cor... Corimbia univasite, today it is just to congregation you!!!haah niliisikia hiyo jana. Tutachekwa sana jamaa akiwa Rais
Wametoa hisia zao halisi bila kushawishika na bila kulazimishwa.Hao ndiyo wazelendo wa nchi yao na wanahaki kama yoyote hapa Tanzania.Adhabu hii ni haki kwa CCM kutokana na kushindwa kuwatumikia Watanzania kama walivyo tarajia.
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa
ukawa ammjui siasa
Akili hii ndiyo itakayowafanya mzimie flat siku ya siku kwa kutoamini kitakachokuwa kimetokea. Nakushauri ulipie kabisa gharama za hospitali in advance maana kutakuwa na gharika la waliozimia kisa matokeo ni upside down
huo mkoa utadumaa sana...
Haki!? Haki yakuzomea na kuzuia wengine wasipate nafasi yakuhutubiwa hivi haki maana yake nin labda? Kuweni wastaarabu hivi vijana wa ccm wakiamua kureact pia itakuwaje? Hamtaki kusikiliza kampen za ccm mkacheze bao muwaache wanaotaka kumsikiliza nchii hii kila mtu anahaki sawa msinyifanye nyie ndo mnauchungu sanaaa.