Magufuli aliahidi kuboresha mafao ya Wafanyakazi. Badala yake kavuruga maslahi yao, na ametumia fedha za mafao yao kujipaisha zaidi

Magufuli aliahidi kuboresha mafao ya Wafanyakazi. Badala yake kavuruga maslahi yao, na ametumia fedha za mafao yao kujipaisha zaidi

Huyu mkoloni mweusi ni hatari kwa ustawi wa nchi yetu.

Laana gani hii ya kuiba mafao ya wastaafu? Kama hiyo haitoshi amewafunga watumishi vijana kwenye kifungo cha makato yasioisha ya bodi ya mikopo.

Huyu mtu ni mwenye roho mbaya mno.
 
Usanii mwingine wa serikali awamu 5 uko hivi. Unadai salary areas let's say mili 10 Tsh. Malimbikizo miaka miwili. Wao Wanakulipa sh. Mili moja na wanaonesha kwenye salary slip kwamba ni malipo ya miaka kumi iliyopita. Kichekesho sasa .. Ukihesabu miaka husika utakuta hiyo mil moja ati ni malipo ya tangu upo form six. This government ni utopolo
 
Moja ya simulizi za kusikitisha katika utawala wa awamu ya Tano, ni kisa cha wafanyakazi wa Tanzania. Zipo kada nyingi zilizoumizwa sana na utawala huu, mojawapo nyingine ni wakulima. Hawa wote wametumika kama nyenzo tu ya kufanikisha miradi ya awamu hii, huku wao wenyewe na familia zao wakiachwa kwenye mateso na lindi la ufukara. Nachelea kusema kinachofanyika kinakaribia mfumo wa utumwa haswa.

John Joseph Pombe Magufuli, wakati anajinadi 2015, aliahidi, kati ya ahadi nyingi, kuboresha maslahi ya wafanyakazi. Na baada ya bajeti yake ya kwanza, alitamka kwamba ataanza kuyaboresha "baada ya mwezi mmoja au miwili", akidai kwamba haiwezekani kuboresha maslahi kabla ya kukamilisha zoezi la kuhakiki WAFANYAKAZI HEWA. Hilo lilionekana ni busara iliyo wazi kabisa. Wafanyakazi wakavuta subira.

Kusema kweli uhakiki ulifanyika, watu walihakikiwa zaidivya mara 4, lakini mishahara haikupanda, ila bei mbalimbali na gharama za maisha, ziliendelea kupanda.

Miezi haigandi, ikasonga mbele, ukawa mwaka, na zaidi. Baada ya kuachana na kisingizio cha uhakiki wa wafanyakazi, Serikali ya JPM ikabuni kibwagizo kingine: maboresho ya wafanyakazi yapo ndani ya maboresho ya maisha ya watanzania wote. Barabara zinazojengwa, ujenzi wa reli ya SGR, mradi mkubwa wa umeme wa Stigler, fly over, ununuzi wa ndege, na mengine mengi.

JPM aliridhishwa sana na hoja hii, kiasi kwamba baada ya hapo, akisikia kilio cha kuboresha maslahi ya wafanyakazi, alikuwa anajibu kwa ukali: kama unaona mshahara hautoshi, nenda kalime! Hapo JPM aliridhika kabisa kwamba ametekeleza ahadi yake ya kuboresha maslahi yavwafanyakazi.

Na kwa kweli, kuna wakati aliahidi kwamba kabla ya kumaliza awamu hii ya miaka 5, atatekeleza ahadi yake. Mpaka hivi sasa keshavunja bunge, kwa hiyo keshawahadaa wafanyakazi kwa mara nyingine.

Inafaa kukumbuka kwamba kama mishahara ya wafanyakazi haiongezwi, basi maana yake vipato vyao vinashuka, kwa sababu gharama za maisha zimepanda sana kipindi cha Magufuli, ili kugharimia miradi mingi aliyoianzisha bila kuzingatia uwiano katika sera za uchumi. Kwa hiyo maana yake ni kwamba kiuhalisia, badala ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi, ameyadunisha kwa kiwango kikubwa sana. Hii ni pamoja na maisha ya watanzania wote kwa ujumla wao, wamefukarishwa zaidi.

Lakini Magufuli hakuishia hapo katika mradi wake mkubwa wa kufukarisha wafanyakazi. Ameingilia pia Mafao na Pensheni za wafanyakazi wastaafu, na kuzipiga.

Mbali ya kurithi madeni ya serikali, ambapo serikali ilikopa toka mashirika ya hifadhi za jamii, Magufuli badala ya kupunguza madeni hayo, ameyaongeza zaidi na zaidi.

Ili kuficha " uporaji" huu, serikali ya JPM imetumia njia kadhaa, hapa nitaje njia mbili: kwanza kuunganisha mashirika. Hapa kuna manufaa mengi kwa serikali. Kwanza kujipatia muda zaidi kwa kisingizio cha " mchakato", pili "uhakiki", na kuficha udhaifu wa mashirika yaliyokuwa hoi zaidi kutokana na uporaji huo wa serikali.

Pili ni kwa "kurekebisha" vikokotoo.

Matokeo yake, wafanyakazi wengi hivi sasa wanacheleweshewa mafao yao na Pensheni.

Miaka ya hivi karibuni kulikuwa na uboreshaji mkubwa katika utendaji wa mashirika ya hifadhi ya jamii, na kuwezesha wafanyakazi wanaostaafu kulipwa mafao yao mapema. Magufuli badala ya kuboresha zaidi alipoachia Kikwete, ndio amezidi kuvuruga zaidi.

Hapo juu nimetumia neno "UPORAJI" badala ya "UKOPAJI" kwa sababu, mstaafu halipwi pensheni ya kila mwezi, mpaka hapo atakapolipwa mafao yake. Hebu fikiria mtu katumikia miaka yote hiyo, anastaafu, hapati malipo yoyote mwezi baada ya mwezi. Kama atalipwa mafao baada ya miaka 2, maana yake muda wote huu hana kipato chochote. Kwa kuzingatia mstaafu ni mtu mwenye umri mkubwa, ana hatari ya magonjwa nyemelezi kibao, mateso kama haya hayawaachi salama baadhi yao wanafariki bila kupokea malipo yao. Na hata kama hajafariki, atakuwa ameathirika sana, yeye na wategemezi wake, kiasi hata akija kulipwa hayo mafao, kuna athari ambazo hazitawezekana kuponeshwa.
Hapo hakuna uporaji kweli?

Kwa hiyo JPM amewanyima wafanyakazi ile nafuu aliyowaahidi, badala ya kuwapa mkate akawapa UPUPU.

Pia hata kile kidogo kilichohifadhiwa kwa ajili yao wanapostaafu, amekipora pia.

Magufuli hakuishia hapo.
1) kwa mujibu wa sheria, mfanyakazi ana haki ya kupata nyongeza za kila mwaka (increments ) ambazo humwezesha kupanda ngazi za mshahara na madaraja. Miaka yote hii haijawahi kuingiliwa, inaweza kusimama kwa muda tu lakini si kwa kiwango cha wakati wa Magufuli. Katika awamu ya Magufuli, increment imegeuzwa kuwa hisani ya rais, na inatangazwa kwa mbwembwe. Hii ni enzi ya utumwa haswa.

2) Licha ya increments, kuna nyongeza za mishahara za jumla. Hizi Magufuli ndio kabisaaa kafutilia mbali. Hizi zilisaidia sana kuongeza kiwango cha mshahara kinachotumika kukokotoa malipo ya mafao. Ndio kimbilio pekee kwa wale wafanyakazi waliofika kwenye "bar".

3) Kuna kituko au tuseme UMAFIA umefanywa na serikali hii haijawahi kutokea. Mfanyakazi anapata barua ya kupandishwa daraja kwa mujibu wa taratibu. Maana yake mshahara pia unapanda. Tuseme anaambiwa kapandishwa kuanzia tarehe mosi Julai 2017. Baadae analetewa barua mshahara utapanda kuanzia Novemba mosi 2017. Baadae tena anaambiwa atalipwa kuanzia Julai Mosi 2018. Danadana hizo zinaweza kuendelezwa bila kikomo, kuna ambao mpaka leo hawajaonja mshahara mpya, kwa mtindo huo.

Ni wazi Magufuli ameona wafanyakazi ni Mgodi wa kuutumia kutekeleza miradi yake ili kujiletea sifa kubwa, kwa gharama ya wafanyakazi .

Tusisahau kwamba wafanyakazi ni chanzo kikubwa cha makusanyo ta kodi, tena cha uhakika. Serikali inajipigia panga yenyewe bila mjadala wala makadirio.

Tumesikia Rais Magufuli katika ziara hivi karibuni akiwajibu wafanyakazi , kama unaona mshahara hautoshi, nenda kalime. Siku chache Baadae akiongea na walimu, aliwaahidi kulipa mafao yao yote wanaodai, kufikia mwezi wa 8. Swali, hakuwajibu waende kulima. Je, hiyo ni kwa walimu tu? Au wafanyakazi wastaafu wote? Na kama ni walimu tu, kawatenga kwenye kundi la wanaoteswa, ili iweje? UCHAGUZI MKUU 2020?
Wazee Wastaafu wanasotea mafao yao mwaka wa 2 huu
 
Tangu tupate Uhuru hapajatokea Rais katili na dhalimu kama huyu tuliye naye. Yaani huyu ni mbadhirifu sijapata ona. Anatumia fedha za taasisi na mifuko ya jamii vile atakavyo. Yaani anawadhulumu watumishi wa umma fedha zao kisha anazigawa kwa wanaCCM wenzie barabarani na makanisani. Sijapata kuona Rais wa hovyo kama huyu.
 
Mataga wakionaga uzi wa mambo ya wafanyakazi(increaments/mafao etc) hua hawakanyagi hata kwa dawa.

Maana wataongea nini sasa.
Duuu! Yaani hadi nawamiss, maana si kwa ukomya huu!
 
Tangu tupate Uhuru hapajatokea Rais katili na dhalimu kama huyu tuliye naye. Yaani huyu ni mbadhirifu sijapata ona. Anatumia fedha za taasisi na mifuko ya jamii vile atakavyo. Yaani anawadhulumu watumishi wa umma fedha zao kisha anazigawa kwa wanaCCM wenzie barabarani na makanisani. Sijapata kuona Rais wa hovyo kama huyu.
Halafu anapogawa anafanya kama vile ile ni mali yake binafsi!
 
Usanii mwingine wa serikali awamu 5 uko hivi. Unadai salary areas let's say mili 10 Tsh. Malimbikizo miaka miwili. Wao Wanakulipa sh. Mili moja na wanaonesha kwenye salary slip kwamba ni malipo ya miaka kumi iliyopita. Kichekesho sasa .. Ukihesabu miaka husika utakuta hiyo mil moja ati ni malipo ya tangu upo form six. This government ni utopolo
Du! Hiyo nilikuwa sijaipata. Kumbe utawala huu una maovu mengi hivi? Sasa anapata wapi ujasiri wa kusema kwamba tutamkumbuka?
 
Wanaoshabikia huu utawala mimi huwa nawaona wana kasoro vichwani mwao.
Ni ama njaa/ujinga/wale wasioathirika moja kwa moja/wanufaika. Mimi kwenye la Coron nilimpa heko kwa kutoweka curfew au lockdown kabisa. Japo pia alifanya ujinga kutozuia mipaka kuingiza watu, wengi huwa hawalioni kama moja ya failures ktk kupambana na corona. Kimsingi mimi nampa 1/10.
 
Moja ya simulizi za kusikitisha katika utawala wa awamu ya Tano, ni kisa cha wafanyakazi wa Tanzania. Zipo kada nyingi zilizoumizwa sana na utawala huu, mojawapo nyingine ni wakulima. Hawa wote wametumika kama nyenzo tu ya kufanikisha miradi ya awamu hii, huku wao wenyewe na familia zao wakiachwa kwenye mateso na lindi la ufukara. Nachelea kusema kinachofanyika kinakaribia mfumo wa utumwa haswa.

John Joseph Pombe Magufuli, wakati anajinadi 2015, aliahidi, kati ya ahadi nyingi, kuboresha maslahi ya wafanyakazi. Na baada ya bajeti yake ya kwanza, alitamka kwamba ataanza kuyaboresha "baada ya mwezi mmoja au miwili", akidai kwamba haiwezekani kuboresha maslahi kabla ya kukamilisha zoezi la kuhakiki WAFANYAKAZI HEWA. Hilo lilionekana ni busara iliyo wazi kabisa. Wafanyakazi wakavuta subira.

Kusema kweli uhakiki ulifanyika, watu walihakikiwa zaidivya mara 4, lakini mishahara haikupanda, ila bei mbalimbali na gharama za maisha, ziliendelea kupanda.

Miezi haigandi, ikasonga mbele, ukawa mwaka, na zaidi. Baada ya kuachana na kisingizio cha uhakiki wa wafanyakazi, Serikali ya JPM ikabuni kibwagizo kingine: maboresho ya wafanyakazi yapo ndani ya maboresho ya maisha ya watanzania wote. Barabara zinazojengwa, ujenzi wa reli ya SGR, mradi mkubwa wa umeme wa Stigler, fly over, ununuzi wa ndege, na mengine mengi.

JPM aliridhishwa sana na hoja hii, kiasi kwamba baada ya hapo, akisikia kilio cha kuboresha maslahi ya wafanyakazi, alikuwa anajibu kwa ukali: kama unaona mshahara hautoshi, nenda kalime! Hapo JPM aliridhika kabisa kwamba ametekeleza ahadi yake ya kuboresha maslahi yavwafanyakazi.

Na kwa kweli, kuna wakati aliahidi kwamba kabla ya kumaliza awamu hii ya miaka 5, atatekeleza ahadi yake. Mpaka hivi sasa keshavunja bunge, kwa hiyo keshawahadaa wafanyakazi kwa mara nyingine.

Inafaa kukumbuka kwamba kama mishahara ya wafanyakazi haiongezwi, basi maana yake vipato vyao vinashuka, kwa sababu gharama za maisha zimepanda sana kipindi cha Magufuli, ili kugharimia miradi mingi aliyoianzisha bila kuzingatia uwiano katika sera za uchumi. Kwa hiyo maana yake ni kwamba kiuhalisia, badala ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi, ameyadunisha kwa kiwango kikubwa sana. Hii ni pamoja na maisha ya watanzania wote kwa ujumla wao, wamefukarishwa zaidi.

Lakini Magufuli hakuishia hapo katika mradi wake mkubwa wa kufukarisha wafanyakazi. Ameingilia pia Mafao na Pensheni za wafanyakazi wastaafu, na kuzipiga.

Mbali ya kurithi madeni ya serikali, ambapo serikali ilikopa toka mashirika ya hifadhi za jamii, Magufuli badala ya kupunguza madeni hayo, ameyaongeza zaidi na zaidi.

Ili kuficha " uporaji" huu, serikali ya JPM imetumia njia kadhaa, hapa nitaje njia mbili: kwanza kuunganisha mashirika. Hapa kuna manufaa mengi kwa serikali. Kwanza kujipatia muda zaidi kwa kisingizio cha " mchakato", pili "uhakiki", na kuficha udhaifu wa mashirika yaliyokuwa hoi zaidi kutokana na uporaji huo wa serikali.

Pili ni kwa "kurekebisha" vikokotoo.

Matokeo yake, wafanyakazi wengi hivi sasa wanacheleweshewa mafao yao na Pensheni.

Miaka ya hivi karibuni kulikuwa na uboreshaji mkubwa katika utendaji wa mashirika ya hifadhi ya jamii, na kuwezesha wafanyakazi wanaostaafu kulipwa mafao yao mapema. Magufuli badala ya kuboresha zaidi alipoachia Kikwete, ndio amezidi kuvuruga zaidi.

Hapo juu nimetumia neno "UPORAJI" badala ya "UKOPAJI" kwa sababu, mstaafu halipwi pensheni ya kila mwezi, mpaka hapo atakapolipwa mafao yake. Hebu fikiria mtu katumikia miaka yote hiyo, anastaafu, hapati malipo yoyote mwezi baada ya mwezi. Kama atalipwa mafao baada ya miaka 2, maana yake muda wote huu hana kipato chochote. Kwa kuzingatia mstaafu ni mtu mwenye umri mkubwa, ana hatari ya magonjwa nyemelezi kibao, mateso kama haya hayawaachi salama baadhi yao wanafariki bila kupokea malipo yao. Na hata kama hajafariki, atakuwa ameathirika sana, yeye na wategemezi wake, kiasi hata akija kulipwa hayo mafao, kuna athari ambazo hazitawezekana kuponeshwa.
Hapo hakuna uporaji kweli?

Kwa hiyo JPM amewanyima wafanyakazi ile nafuu aliyowaahidi, badala ya kuwapa mkate akawapa UPUPU.

Pia hata kile kidogo kilichohifadhiwa kwa ajili yao wanapostaafu, amekipora pia.

Magufuli hakuishia hapo.
1) kwa mujibu wa sheria, mfanyakazi ana haki ya kupata nyongeza za kila mwaka (increments ) ambazo humwezesha kupanda ngazi za mshahara na madaraja. Miaka yote hii haijawahi kuingiliwa, inaweza kusimama kwa muda tu lakini si kwa kiwango cha wakati wa Magufuli. Katika awamu ya Magufuli, increment imegeuzwa kuwa hisani ya rais, na inatangazwa kwa mbwembwe. Hii ni enzi ya utumwa haswa.

2) Licha ya increments, kuna nyongeza za mishahara za jumla. Hizi Magufuli ndio kabisaaa kafutilia mbali. Hizi zilisaidia sana kuongeza kiwango cha mshahara kinachotumika kukokotoa malipo ya mafao. Ndio kimbilio pekee kwa wale wafanyakazi waliofika kwenye "bar".

3) Kuna kituko au tuseme UMAFIA umefanywa na serikali hii haijawahi kutokea. Mfanyakazi anapata barua ya kupandishwa daraja kwa mujibu wa taratibu. Maana yake mshahara pia unapanda. Tuseme anaambiwa kapandishwa kuanzia tarehe mosi Julai 2017. Baadae analetewa barua mshahara utapanda kuanzia Novemba mosi 2017. Baadae tena anaambiwa atalipwa kuanzia Julai Mosi 2018. Danadana hizo zinaweza kuendelezwa bila kikomo, kuna ambao mpaka leo hawajaonja mshahara mpya, kwa mtindo huo.

Ni wazi Magufuli ameona wafanyakazi ni Mgodi wa kuutumia kutekeleza miradi yake ili kujiletea sifa kubwa, kwa gharama ya wafanyakazi .

Tusisahau kwamba wafanyakazi ni chanzo kikubwa cha makusanyo ta kodi, tena cha uhakika. Serikali inajipigia panga yenyewe bila mjadala wala makadirio.

Tumesikia Rais Magufuli katika ziara hivi karibuni akiwajibu wafanyakazi , kama unaona mshahara hautoshi, nenda kalime. Siku chache Baadae akiongea na walimu, aliwaahidi kulipa mafao yao yote wanaodai, kufikia mwezi wa 8. Swali, hakuwajibu waende kulima. Je, hiyo ni kwa walimu tu? Au wafanyakazi wastaafu wote? Na kama ni walimu tu, kawatenga kwenye kundi la wanaoteswa, ili iweje? UCHAGUZI MKUU 2020?
Kwa hiyo JPM amewanyima wafanyakazi ile nafuu aliyowaahidi, badala ya kuwapa mkate akawapa SHUBIRI
 
Ndiyo UJINGA uliotamalaki Nchini Mkuu. Ukisema ukweli kuhusu huyo dikteta basi umetumwa/unatumika na MABEBERU, kama vile Watanzania wote tumekuwa MAZWAZWA hatuwezi kutumia haki yetu ya kikatiba kukosoa mengi TUSIYOYAPENDA kutoka kwa dikteta hadi TUFUNDISHWE na MABEBERU.

Mkuu hapa utaambiwa umetumwa na mabeberu au ni wivu tu wa majirani zetu kenya[emoji23].Ila hii nchi kuna muda inatia huruma sana yaani nikimuangalia mzazi wangu ni mfanyakazi wa serikali lkn maisha yake aisee unawezalia[emoji26]
 
Rais anafanya mazur lkn hapo naona alijisahau anapaswa kukumbushwa na wasaidizi wake badala ya kumuimbia mapambio
 
Mataga wakionaga uzi wa mambo ya wafanyakazi(increaments/mafao etc) hua hawakanyagi hata kwa dawa.

Maana wataongea nini sasa.
Kabisa huwezi kuwaona.

Yaani mimi la mafao mpaka miaka 60, kupandisha makato bodi ya mikopo ni namna gani zee la kisukuma lilivyo katili. Halafu nina bahati mbaya na wasukuma. Wengi niliokutana nao ni washenzi, washenzi. Wanisamehe kwa kweli!
 
Back
Top Bottom