Magufuli alijitoa nafsi yake kuwasaidia Watanzania. Rais Samia anajitoa nafsi ili achaguliwe tena 2025

Magufuli alijitoa nafsi yake kuwasaidia Watanzania. Rais Samia anajitoa nafsi ili achaguliwe tena 2025

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Rais Samia ana bidii kubwa katika kufanya kazi lakini siyo kwa sababu zilezile za Magufuli. Wanafanya kazi ambayo kimsingi ni ni ile ile lakini kwa sababu tofauti

Nimeona sometimes watu wanampinga Rais Samia nimejiuliza hawa watu wanatania au vipi? Lakini naona tofauti katika utendaji kazi wa hawa Marais wawili.

Magufuli alikuwa hana wasiwasi wa kuchaguliwa kipindi cha pili. Alikuwa anafanya kazi tu ili aende Mbinguni kuwaongoza Malaika.
 
Mumuache Mzee Kisha Jipumzikia Endelea Na Kata kata yenu
 
Magufuli alikuwa dikteta na Samia alikuwa msaidizi mkuu wa dikteta Magufuli ila Samia akamlia timing na kumnyofoa Magufuli kwenye kiti chake kabla Magufuli hajatimiza lengo lake la kuwa rais wa milele.
 
Mm na yeye ni kitu kimoja. Alisikika.
 
Hadithi, nani ajitoe kwa ajili ya watanzania? Mwenyewe tamaa zake amemaliza?
 
Rais Samia ana bidii kubwa katika kufanya kazi lakini siyo kwa sababu zilezile za Magufuli. Wanafanya kazi ambayo kimsingi ni ni ile ile lakini kwa sababu tofauti

Nimeona sometimes watu wanampinga Rais Samia nimejiuliza hawa watu wanatania au vipi? Lakini naona tofauti katika utendaji kazi wa hawa Marais wawili.

Magufuli alikuwa hana wasiwasi wa kuchaguliwa kipindi cha pili. Alikuwa anafanya kazi tu ili aende Mbinguni kuwaongoza Malaika.
Wote wamefanya kazi Magufuli amefanya kazi na Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya kazi tufauti ni kwamba Rais Samia Suluhu anaendesha nchi kwa akili sana bila kutumia nguvu kama mtangulizi wake
 
Magufuli hakuwa muoga kwa walio mzunguka, aliwa tumbua live bila aibu Wala uoga.

Alikuwa anapambana kuikomboa nchi kutoka kwa mafisadi na wahujumu na aliwaambia ukweli bila kuwaficha, shortly alikuwa rais Shujaa'.
 
Back
Top Bottom