Magufuli alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe, mafisadi na wabadhilifu wa mali za Umma

Magufuli alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe, mafisadi na wabadhilifu wa mali za Umma

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.
 
Robot ni sawa sawa na msukule linaendeshwa na aliyelitengeneza sasa msukule wa mwendazake umebaki na aliyokuwa anakuambia aliyekutengeneza.

Umefagia lakini nyumba yake leo?
 
Huwezi itenganisha demokrasia yetu na Wanafiki.
wanaopractice siasa ni wanafiki na wachumia tumbo, wanaotanguliza maslahi yao binafsi...ukiwachukia hao automatic umeichukia demokrasia, its as simple as that.
- Demokrasia ya Kuengua Wagombea, Demokrasia ya kupora Fomu za Kugombea za Wapinzani, Demokrasia ya kutishia kutoleta Maendeleo kwenye majimbo ya Wapinzani, Demokrasia ya kutumia Jwtz kuchukua korosho za Wakulima.
 
Hayati Dr Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa Hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa Mali za umma

Dr Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha Alama kubwa isiyofutika

kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma
Pambania legasi tuone kama utatoboa ndugu.
 
Ila ukweli ni kuwa watanzania tu wazembe sana.
wengi wetu hatuwezi kujituma.
 
Hayati Dr Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.
Ila yeye alikua mnafiki na mwizi namba moja.
1.5 trillion yeru iko wapi.
Ukabila ulianza enzi zake
 
Hayati Dr Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.
Kabisa. Ndio maana watu wakawa wanatekwa na kupotezwa, kina Biswalo Mganga na wasukuma wengine wakawekwa kimkakati kunyang'anya watu pesa kwa kisingizio cha money laundering huku wakijilimbikizia mali, ndio maana akapeleka maendeleo Chato na Mwanza kwa lazima, ndio maana akanunua mandege yenye kuleta hasara kila kukicha, ndio maana Yani..Ndio maana tulipata viongozi wa ajabu ajabu mpaka waliofoji vyeti, majambazi. Ndio maana aliwabagua na kuwakandamiza watu wa kaskazini, ndio pandikizi kuu la chuki. Kiufupi tu Embu tuache. Kazi yake Mola aina makosa.
 
Hayati Dr Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.
Pia alikuwa fisadi nb moja,bilasha wakati ananunua Kivuko anatumia tri 1.5 bila maelezo yoyote anakaa miaka 5 bila kuwaongezea mishahala na kuwapandisha madalaja wafanyakazi,watu kuuwawa na kutekwa hovyo, Wewe inaonekana ulikuwa ujazaliwa bado
 
Nitamkumbuka daima Rais Magufuli kwa kuwa alikuwa mtu mwenye maamuzi na maamuzi mengi yaliwakilisha asilimia 80 ya Wananchi wa Tanzania.
 
Awamu ya fulani nimeisahau jina,Waziri Mkuu alikwenda nchi fulani akakuta vigari vidogo vingi,viswift,visuzuki akaambiwa hivi vigari ndio wanatumia Mawaziri,Waziri Mkuu wetu alishangaa,akaishia kusema kule kwetu basi tu sijui kama inawezekana,Waziri Mkuu lakini alikuwa hana maamuzi🤔
 
Back
Top Bottom