Magufuli alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe, mafisadi na wabadhilifu wa mali za Umma

Magufuli alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe, mafisadi na wabadhilifu wa mali za Umma

Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.

Adui wa Magufuli alikuwa CHADEMA pekee yake. Maana alitaka kufa nayo. Bahati mbaya akafa yeye kwanaza. Yani Mahakama, Bunge na serikali zote zilikuwa zinapambana na CHADEMA.
 
We Sukuma Gang; huyo magu wenu alikuwa na sifa zifuatazo;
Muuaji
katili
mwonevu
mwongo kupindukia
Aliharibu sana uchumi wa nchi
mkabila
mkanda
Mbadhirifu hatari sana wa fedha za walipa kodi
 
Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.
Kama Hawa hapa au siyo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    Screenshot_20220415-072852.jpg
    122 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    49.3 KB · Views: 5
  • 1650491737485.png
    1650491737485.png
    60.6 KB · Views: 4
  • 2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg
    2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg
    27.2 KB · Views: 4
Huu mfumo hauwezi kuondolewa bila sacrifices...
umejichimbia mizizi sana. Sokoine couldnt so as JPM and the rest wanauogopa coz wanajua nn kitawakuta. Unless nao waamue kujitolea for the better future.
Rwanda wameweza coz ukiondoa walichopitia viongozi wake wengi walitokea jeshini sehemu ambako nidhamu ipo juu and wana kiongozi ambae yupo firm.
From there it takes time for that new norm to become a culture.
Katiba alone wont do us much good. Kenya & SA got the best katiba in Africa bt ufisadi na uzembe ni wa kiwango cha kishetani.

Nafikiri mwanajeshi angetufaa labda ila mtu kama Magu hakuwa mwanajeshi Ndio maana
Kwa sababu hawajuani ila kama angekuwa mjeda nidhamu ingekuwepo sana kwani wangekuwa wengi wa namna yake

Ingawa aliweka wanajeshi mpaka wakuu wa mikoa haikusaidia kwa sababu aliongoza tofauti (uonezi) na ubabe na hii sio mbinu za kijeshi

Jeshi linajiongoza kwa nidhamu ya hali ya juu na sio kwenda kuvamia wafanyabiashara na wao umewapa ukuu wa mikoa na hawana la kusema

Katiba sioni kama inatusaidia chochote hata iwe imeimarishwa kiasi gani

Nchi masikini zina shida sana
Watu wanataka kuiba tu na ukikemea wizi unaonekana mbaya

Hata humu utajua society yetu ni mbovu kuna watu kutwa wanatetea majizi
 
Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.
Ni kweli kabisa sema mijizi siku hizi imemgeuzia kibao eti inamuita JPM fisadi!
 
Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.

Pia adui wa WAVIVU.
 
Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.
Vyama vya upinzani ndiyo wazembe na wala rushwa????
 
Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma.

Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika alijituma kulitumikia Taifa lake ameacha alama kubwa isiyofutika.

Kwa wale wasiojua ni kwamba Dr Magufuli aliweza kujitoa mhanga kwa ajili ya Tanzania kwa miaka 20, Dr Magufuli alipanda ngazi kwa ngazi hatua kwa hatua kuelekea mafanikio makubwa ya kuiunganisha Tanzania

Yeye mwenyewe hakutaka kupendwa na wanafiki, wezi na wabadhirifu wa, Mali za umma muonapo watu wanamshambulia ni kundi la wezi, wazandiki mafisadi wapiga dili na wabadhirifu wa Mali za umma.

Alikua na mazuri yake na mabaya kama binadamu wengine
 
Back
Top Bottom