Magufuli alikuwa muongo sana

Magufuli alikuwa muongo sana

Kalaghabao
Mabeberu Sasa yanatudhihaki lakini Mungu wetu mkuu, atanyanyua Tena mtetezi mwingine.

Nawaambia nyie mabeberu na makuwadi wenu hamtaitawala hii nchi milele.

Tanzania sio ya kwenu.
 
Aliposema nitawajengea flyover Dsm ni muongo! Aliposema nitajenga mji wa serikali Dodoma! Aliposema tutajenga mtambo wa umeme rufiji ni muongo! Alposema elimu bure ni muongo. Tusidhalilishe hayati haitusaidii sana kimaadili. Tuwe na kiasi kwenye kauli sote ni waja wake.
Tulia mkuu.Ila alikuwa muongo.😝😝😝😝
 
Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?

Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.

View attachment 1831163
Nyuzi kama hizi huwezi mkuta mtu mwenye akili zake kuchangia upuuzi wa kijiwe cha BAVICHA yaan, yaani jukwaa lolote ni kundi moja wakifurahishana ushunwada yaan

Sent from my CAM-TL00 using JamiiForums mobile app
 
Mabeberu Sasa yanatudhihaki lakini Mungu wetu mkuu, atanyanyua Tena mtetezi mwingine.

Nawaambia nyie mabeberu na makuwadi wenu hamtaitawala hii nchi milele.

Tanzania sio ya kwenu.
mungu wenu anawanyanyulia chato
 
Tulifika pabaya Sana aisee upati teuzi,ajira,bila kuimba kwaya.Kama we ni wa kaskazini sahau kabisa kuajiriwa.
DPP alishindana makusanyo na TRA

Marehemu was the axis of evil. Ni vema kupata katiba mpya yenye nguvu na iliyo bora, ambayo haitarihusu watu wasio sawasawa kuwatawala walio wazima.

Kwa hakika marehemu kuna wakati hakuwa kwenye utimamu wa akili. Na hilo hata yeye alilijua ndiyo maana alijisemea mwenyewe kuwa alikuwa kichaa. Na muda mwingine alisema itategemea alimkaje. Yeye mwenyewe alijitambua kuwa kuna wakati hakuwa kwenye akili timamu.
 
Back
Top Bottom