Magufuli alikuwa Rais dikteta sana kwenye baadhi ya maamuzi, Samia apewe maua yake

Magufuli alikuwa Rais dikteta sana kwenye baadhi ya maamuzi, Samia apewe maua yake

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝

Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.

Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ .

Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.

Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.

Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau.

Akaruhusu wapewe michango yao.

Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.

Samia apewe maua yake.
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝
Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.
Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ . Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.
Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.
Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau. Akaruhusu wapewe michango yao.
Mimi simpigii kampeni Rais Samia ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.
Samia apewe maua yake.
Mnapenda kupetiwa petiwa na kuimbiwa angalia jinsi gani majizi yanavyokwapua serikalini kwa mgongo wa hivyo vibanda vilivyojengwa kinyume ya gharama halisi!
 
Magufuli alikuwa mbele ya muda. Hata nikiwa Rais kesho nitachukua baadhi ya sera zake. Ukitaka kulijua hili angalia views za Magufuli YouTube and read the comments, you will be amazed.

Naelewa huwezi ukam-please kila mwananchi ila sina cha kumdai Magufuli.

Alijua shida ya Afrika na alikuwa na Majibu sahihi. Natamani saana tupate Chama kitakacho chukua falsafa ya Magufuli.
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝
Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.
Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ . Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.
Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.
Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau. Akaruhusu wapewe michango yao.
Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.
Samia apewe maua yake.
Samia naye anafuata huko huko
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝
Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.
Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ . Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.
Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.
Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau. Akaruhusu wapewe michango yao.
Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.
Samia apewe maua yake.
Wewe Boya bado tu unahangaika na Mwamba Magufuli
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝
Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.
Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ . Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.
Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.
Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau. Akaruhusu wapewe michango yao.
Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.
Samia apewe maua yake.
Nani kama Samia apewe tena miaka 5
 
Magufuli alikuwa mbele ya muda. Hata nikiwa Rais kesho nitachukua baadhi ya sera zake. Ukitaka kulijua hili angalia views za Magufuli YouTube and read the comments, you will be amazed.

Naelewa huwezi ukam-please kila mwananchi ila sina cha kumdai Magufuli.

Alijua shida ya Afrika na alikuwa na Majibu sahihi. Natamani saana tupate Chama kitakacho chukua falsafa ya Magufuli.
sera za kuvunja katiba na kuiba kura ama? tuanzie hapo
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝
Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.
Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ . Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.
Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.
Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau. Akaruhusu wapewe michango yao.
Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.
Samia apewe maua yake.
Zaidi ya jinsia na ukweli kuwa Magu alimfinyanga sa100, huwa sioni tofauti baina ya wawili hawa.
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝

Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.

Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ .

Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.

Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.

Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau.

Akaruhusu wapewe michango yao.

Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.

Samia apewe maua yake.
Toa upumbavu hapa
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝

Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.

Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ .

Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.

Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.

Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau.

Akaruhusu wapewe michango yao.

Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.

Samia apewe maua yake.
Wewe ni pumbavu, angalia kushoto na kulia, mbele na nyuma then ukubali wewe ni mpumbavu.
Magufuli kajifia zake anahusika vp na majanga yanayotokea huku nyuma?
Hata amri 10 zinasema usilitaje jina la Mungu wako pasipo na sababu.
Magufuli kafa miaka mi3 iliyopita anahusika vipi hapo?
Wewe ni mupumbavu wahed
 
Hanang watu wamepata majanga serikali ya Samia imejenga nyumba na kuwakabidhi waathirika. What love is this? 💝💝

Magufuli angewaambia kwani Mimi ndio nimeleta majanga.
Refer tetemeko la ardhi Kagera.

Wamasai wa Ngorororo waliokubali kuhamishwa serikali iliwahamisha bure na kuwapa makazi ya kisasa. What love is this? ♥️♥️♥️ .

Ila wajinga wanasiasa wakataka kuchukua point kwenye issue ya Ngorororo.

Magufuli angewaambia wamevamia Hifadhi hivyo wangehamishwa kikatili.

Wale wa vyeti fake na darasa la 7 walioondolewa Magufuli hakutaka kabisa kuwapa huruma lakini Samia amewafuta machozi angalau.

Akaruhusu wapewe michango yao.

Mimi simpigii kampeni Rais Samia na wala sijawahi kuwa upande wake ila naonyesha ubora wake kwa kumlinganisha na Magufuli, mtu aliyependwa sana kama Mobutu.

Samia apewe maua yake.
Samia mitano tena
 
Back
Top Bottom