Magufuli alikuwa sahihi kutokuongeza mishahara ya watumishi kwa miaka 5. Uzembe umejaa makazini

Magufuli alikuwa sahihi kutokuongeza mishahara ya watumishi kwa miaka 5. Uzembe umejaa makazini

Habari wakuu!

Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.

Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.

Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.

Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.

Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?

Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Wewe sio mtumsihi wa umma.
 
Kwahiyo mnataka muongezwe pesa wakati utendaji ni sifuri?
Sijawahi kukutana na Mech Eng mwenye akili za hovyo kabila hii aiseeeeee....
Pole sana chief, naona umesoma comment lakini haijakuelimisha.
 
Habari wakuu!

Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.

Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.

Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.

Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.

Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?

Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Mkiambiwa mjifunze vitu huwa hamtaki, ulichofanya kinaitwa "fallacy of generalization " umetumia kosa la ofisi moja kuwahukumu wafanyakazi wote. Tusemeje kwa mwalimu aliyepo kijijini huko ambaye amekuwa akifundisha kuanzia asubuhi mpaka usiku ahukumiwe kwa kosa asilolijua lilitokea huko dar? Daktari Nurse anayeacha usingizi wake ili kuhudumia wagonjwa asiongezewe mshahara kwa ajili ya ofisi ambayo hata haijui? Ifike sehemu tuangalie kile tunachoongea.
 
Sijawahi kukutana na Mech Eng mwenye akili za hovyo kabila hii aiseeeeee....
Pole sana chief, naona umesoma comment lakini haijakuelimisha.
Hahaha, we career yako ni ipi boss?Ama unielimishe kilichotakiwa kufanyika.
 
Habari wakuu!

Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.

Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.

Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.

Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.

Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?

Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Kima
 
Kama hauna uwezo wa kujenga hoja, then hiki kiatu hakikutoshi...[emoji41][emoji41]
Kiatu wahuni tunapanua tu tunavaa hainaga shida.....ikiwa tyt sana tunavaa na rambo tulilochovya korie
 
Kuna mambo ukiyaangali unajisemea kimoyo moyo " acha tu Magufuli aendelee"
Kuna shithole zimekaa kwenye ofisi za umma hasa NIDA, police na uhamiaji vitambi vimejaa kinyesi, tija Ni zero halafu wanalalamika wasipopandishiwa mishahara
Sasa ikiwa Magu mwenyewe hawajali unadhani munkari wa kazi watautoa wapi?, Hata km ni mimi huwezi kuniambia "Hapa kazi tu", Halafu maslahi yangu unayaweka kapuni.Watu sio wajinga bhana.
 
Habari wakuu!

Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.

Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.

Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.

Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.

Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?

Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Kuwajibika vs mshahara,mbona sioni connection mkuu,tafakari uje na nyuzi yenye ujazo
 
Wewe jamaa hufai kuwa hakimu. Hivi kweli kosa la watu Fulani idara moja ndio una generalize wote? Maisha hayapo hivyo, hata Mungu angehukumu km wewe basi watu tungekuwa tulishapotea zamani sana.
Fallacies of generalization. Mleta mada ni kanjanja aliyekubuhu.
 
Back
Top Bottom