Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,250
Reaction score
1,470
Mimi sijamuelewa Mhe. Magufuli leo akiwa uwanja wa ndege kupokea mwili wa aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara amesema:

- Kabla waziri Kigoda hajapelekwa ICU nje ya nchi niliongea nae akanishauri juu ya kuwasaidia wafanyabiashara nchini.
- Alipokuwa nje ya nchi akiwa ICU alinitumia email na kunishauri.

Maswali yangu:
-Hivi mpaka mtu anapelekwa ICU anakuwa na uwezo wa kuchati?
-Je, Magufuli anasema ICU tunayoijua au?

Huyu ndo anataka urais?
 
Tuache Familia,jamaa na Watu wa Karibu na Dr.Abdallah Kigoda waomboleze na kumzika Ndugu yao kwa amani na salama, tuache kuhusisha Jina la Kigoda na Siasa Chafu.Dr.Kigoda kafanyiwa rafu nyingi sana 2005 lakin hakuwa mtu wa Visasi wala Mbwembwe na Madaha mengi kama walivyo wanasiasa lakini alikuwa ni Mtu mwenye bundle nyingi sana za Kichwani.Pole Mh.Mkapa, Pole Familia
 
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.
 
Magufuri ametoa mpya,eti marehemu Kigoda alimtumia email wakati anaenda ICU ktk hospitali ya APOLO India.
Kweli hii ni kali kuliko,hv kweli mgonjwa aliye mahututi kupelekwa ICU anaweza tuma email.?!
 
Mkuu nimetazama hii ITV nikachoka na Magufuri
 
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.

Unaijua kansa inavyouma?
 
Anatafuta huruma ya Watanzania, too late Watanzania wote wako kwa Lowassa.
Hivi inaingia akilini mtu aache kupigania maisha ampigie mgombea anayeshindwa
 
anatudanganya ukiwa unaenda icu utajitambua kweli sasa naenda icu ngoja nipige cmu au ngoja nitume email.hatufai kuwa rais huyu mwongo.
lowasa tuu ndio chaguo letu huyooo
 
Nasikia alipigiwa na simu kabisa

Wakaongea hadi anaingia ICU

Huyo ndiye mgombea Magufuli
 
Mtu anagangamala kutafuta kukampeni mpaka msibani..
Huyu hamnazo sasa
 
Tuache Familia,jamaa na Watu wa Karibu na Dr.Abdallah Kigoda waomboleze na kumzika Ndugu yao kwa amani na salama, tuache kuhusisha Jina la Kigoda na Siasa Chafu.Dr.Kigoda kafanyiwa rafu nyingi sana 2005 lakin hakuwa mtu wa Visasi wala Mbwembwe na Madaha mengi kama walivyo wanasiasa lakini alikuwa ni Mtu mwenye bundle nyingi sana za Kichwani.Pole Mh.Mkapa, Pole Familia

umenena jambo la maana, sio kila sehemu ni pa mzaha na utoto, tuwaache familia watimize wajibu wao.
 
Magufuli sijui kapatwa na nini ha ha ha eti pumzika kwa Amani rais jakaya teh
 
Mgombe uria wa ccm , Magufuri amesema marehemu kigoda kabla hajangia icu au chumba cha wagonjwa mmahututi alimpigia sim kumshauri mambo ya uchumi na jinsi ya kuwawezesha wafanya biashara wazawa.. Pamoja na kumpigia sim alimtumia email kumshauri mambo ya uchumi.

Sasa magufuri mgonjwa mahututi anaweza kupiga simu na kutuma email?

Chanzo: Itv habari ya sa mbili usiku.
Hapo sasa ndipo watu waone usanii wa Magufuri hata ahadi anazotoa ni usanii tupu.
 
Back
Top Bottom