Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!
Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.
Hapana kwenda icu na kutuma email nakataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!
Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.
final days sio haimaanishi kuwa utakuwa icuSio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!
Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.
Huyu jamaa kabaki kuvua nguo tu..... Kachanganyikiwa.... Mara saddam wa kuwait... Mara atakuwa Rais wa awamu ya 7...... Mara Jakaya alale mahala pema peponi... Duuuh
Hapana kwenda icu na kutuma email nakataa
Kwani shangazi yako alikuwa ICU au hujui hata maana ya ICU.Hata shangazi yangu aliugua aliongeya mpaka dakika ya mwisho nikawaida ya ugonjwa mwingine chajabu gani ???