Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.

Hapana kwenda icu na kutuma email nakataa
 
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.
final days sio haimaanishi kuwa utakuwa icu
icu ni kuwa kwenye mbaya kupindukia ila bado madaktari wanaamini unaweza kupona.Mgonjwa wa kansa huwa mara nyingi hapelekwi icu kwa kuwa uwezekano wa kuendelea kuishi mdogo

magufuli ametafuta kura za msiba, kura za wanatanga
 
Magu kajivua nguo leo eti alimuandika na kumshauri jinsi ya kuendesha uchumi...poor strategy ya kufanya kampeni msibani
 
Hata shangazi yangu aliugua aliongeya mpaka dakika ya mwisho nikawaida ya ugonjwa mwingine chajabu gani ???
 
Halafu uvumi wa kigoda ulikuwa toka wiki jana. Ina maana alikuwa kwenye critical condition. Aweze kukaa kuandika email na kutuma email kweli?? Magufuli umenichosha
 
Magufuli anaweza kuionesha hiyo Email aliyotumiwa au angalau kutoa maudhui yake yakoje? Lengo lake lilikuwa ni kuonesha Uzalendo aliokuwa nao marehemu (Sina shaka na hilo) na imani kwake kuwa atakuwa ni Rais. Lakini pia labda anataka kuonesha kwamba yeye na Kigoda walikuwa damu damu!
 
Kwa Magufuli hivyo ni vitu vya kawaida, Wakati kikwete anaaga wizara ya ujenzi, Magufuli alimwambia live bila chenga ''Apumzike mahala pema peponi amina''
 
Du! Tunapoelekea tutasikia Mengi. Hivi kweli unawezaje kuongea ukiwa unaelekea ICU? Jamani najiuliza aliwezaje kuongea nae na kumwambia habari za uchumi?
 
Hizi ndo hasara za kukariri kila kitu kwanza anajua hata email?
Magufuli ndo mgombea uraisi ambaye amekuwa kituko kuliko wagombea wote mwaka huu
 
Yaani Dk Kigoda aache kuongea na Jabiri au Mke wake aongee na Magufuri sijui kuhusu Uchumi wa Tanzania.
 
Huyu jamaa kabaki kuvua nguo tu..... Kachanganyikiwa.... Mara saddam wa kuwait... Mara atakuwa Rais wa awamu ya 7...... Mara Jakaya alale mahala pema peponi... Duuuh

Eti ndo awe rais huyu?!! hiv atatuwakilisha vp kimataifa? watanzania wote tutaonekana mambulula kwa kumchagua
 
Jamani jamani mbona hatari huyu jamaa vitu vingi avijui kabisa yangu macho naosubiri October 25 nifanye maamuzi hizi comedy zimenichosha
 
Hapana kwenda icu na kutuma email nakataa

Moja ya kanuni za hosp. hasa wagonjwa critical madaktari hawaruhusu asumbuliwe let alone kusndika emsil. mgonjwa aliyefikiw stage ya kwenda icu eti anaandika email kuhusucwafanya biashara? badala ya kupigania maisha yake?
 
Tuendelee kumuombea rais wetu, wabaya wake ni wengi. Watu waliozoea kuishi kiujanja ujanja wanaweza wakampoteza kabla hajashusha lungu kwao.
 
Tunaweza kuona ni suala dogo lakini linamantiki katika masuala mazima ya uongozi. Ingekuwa ulaya mojakwamoja hafai.
 
Back
Top Bottom