Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

ingekuwa kifo cha ajali ningeelewa kirahisi,tena cancer inamaumivu makali hayasimuliki. akiwa uwodin tu simu hawez ishika watakua nazo ndugu zake.ICU hauingii na chochote sembuse simu?
 
jamani mbavu zangu miye akuuu, huyu jamaa arudi darasani aiseeeee looooooh maana hata hajui MARAIS wa Africa alihali yeye ni waziri jana kachapia boko jingine oooooh niliongea naye wakati anaingia ICU, Lowassa hana longolongo ni mabadiliko tu
 
Tehe! Tehe! Tehe! Mi Kitambo Tu, Nilishamgundua Mcharuko, Kabla Ya Kupewa Hiyo Nafasi Ya Kugombea!!! Anakurupuka Tu, Hivi ICU WAGONJWA Wanaruhusiwa Kuongea Na SIMU!!!?? Sijui Labda ICU Za Huko Ktk Hospital Zao!!!!
 
Hahahaa kusema kweli kama kuna watu watamchagua huyu jamaa inabidi wakapimwe akili
 
Mimi sijamuelewa Mhe. Magufuli leo akiwa uwanja wa ndege kupokea mwili wa aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara amesema:

- Kabla waziri Kigoda hajapelekwa ICU nje ya nchi niliongea nae akanishauri juu ya kuwasaidia wafanyabiashara nchini.
- Alipokuwa nje ya nchi akiwa ICU alinitumia email na kunishauri.

Maswali yangu:
-Hivi mpaka mtu anapelekwa ICU anakuwa na uwezo wa kuchati?
-Je, Magufuli anasema ICU tunayoijua au?

Huyu ndo anataka urais?

Eti waziri wa Biashara na Viwanda. Tena mtu wa Tanga ambako viwanda vya Chuma na Mbolea vimekufa. Au labda alimuandikia mails kwamba akirudi kama jamaa angeshinda na kuwa Rais asimsahau kwenye uwaziri tena.
 
Naona sasa maana ya ICU yaani Intensive Care Unit sio mchezo. Mtu anayepelekwa ICU yupo maututi. Acheni kua wagumu kuelewa kwamba makufuli amekoseya na kuchemka.

Usitafiri kila kitu unavyojua wewe chagadema
 
Yani huyu mgombea ana kiherehere sijapata ona, siku akisema ameongea na Captain Komba NEC imchukulie hatua.
 
Hata shangazi yangu aliugua aliongeya mpaka dakika ya mwisho nikawaida ya ugonjwa mwingine chajabu gani ???

Utakuta hata shangazi yako yupo hai sema kwa sababu ya ushabiki maandazi unamsingizia kifo. Nyama weweee.
 
Maana ya ICU ni nini? Kwanini mgonjwa atolewe ward ya kawaida apelekwe ICU? Mazingira ya chumba cha ICU liko be vipi?
 
Kabla ya tarehe 25/10/15 atatuambia katumiwa email na JK Nyerere baba wa Taifa marehemu.
 
Tuache Familia,jamaa na Watu wa Karibu na Dr.Abdallah Kigoda waomboleze na kumzika Ndugu yao kwa amani na salama, tuache kuhusisha Jina la Kigoda na Siasa Chafu.Dr.Kigoda kafanyiwa rafu nyingi sana 2005 lakin hakuwa mtu wa Visasi wala Mbwembwe na Madaha mengi kama walivyo wanasiasa lakini alikuwa ni Mtu mwenye bundle nyingi sana za Kichwani.Pole Mh.Mkapa, Pole Familia

Sitatia neno lolote kwa Kigoda,alikuwa mtu mwenye busara na hekima sana kama alivyo Lowassa. Sijawahi kumsikia akitukana.
 
Mimi sijamuelewa Mhe. Magufuli leo akiwa uwanja wa ndege kupokea mwili wa aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara amesema:

- Kabla waziri Kigoda hajapelekwa ICU nje ya nchi niliongea nae akanishauri juu ya kuwasaidia wafanyabiashara nchini.
- Alipokuwa nje ya nchi akiwa ICU alinitumia email na kunishauri.

Maswali yangu:
-Hivi mpaka mtu anapelekwa ICU anakuwa na uwezo wa kuchati?
-Je, Magufuli anasema ICU tunayoijua au?

Huyu ndo anataka urais?

Tatizo la Dkt Magufuli ni Lugha ya Malkia. Huenda hajui ICU ni nini?!!!
 
Tukijichanganya nchi itaelekea kubaya sana,maana kuna watu hata kuziongoza familia zao hawawezi,sasa apewe nchi itakua balaa na tutaingia kwenye maajabu ya dunia,au Hajui ICU ni sehemu katika hospital?!.
 
Inasikitisha kuona watu tulifanya swala la msiba kama agenda ya kujitafutia umaarufu jf
 
Another kikwete in the making. Uraisi hawezi kiwa wa kijinga jinga tu. Kikwete awe raisi wa ajabu kutokea Tanzania.
 
Huyu Mzee anazidi kugeuka kihoja siku zinavyozidi kwenda ,Ccm hebu mpumzisheni huyu Mzee japo kwa siku 2
 
Back
Top Bottom