Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

Nyinyi ndo wajinga si Kila mtu akiwa icu hawezi fanya chochote. Na si kila mtu akiwa icu basi yupo unconscious. Ulizeni muelimishwe
 
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.

Kwani Kigoda alikuwa anaumwa nini??
 
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.

Kwahiyo aache kupigania afya yake atoe ushauri wa kibiashara r u mad
 
magufuli huenda anatumia ile kitu .....
simuelewi kabisa
 
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.

HIV umejibu hivyo ukiwa unajua ni vigezo gan humfanya mgonjwa kupelekwa ICU...au umeandkaa ili mrad uonekane na ww upo ...
 
Naile alio semema mungu amulaze mahala pema JK, unasemaje kwahilo
 
Hivi magufuri kimekupata nn? Mbona unaongea vitu vya ajabu? Wewe utaweza kukaa kwenye vikao vya kimataifa kweli? Kuna siku watakao mchagua pombe watasema bora kikwete
 
Nyinyi ndo wajinga si Kila mtu akiwa icu hawezi fanya chochote. Na si kila mtu akiwa icu basi yupo unconscious. Ulizeni muelimishwe

Naona sasa maana ya ICU yaani Intensive Care Unit sio mchezo. Mtu anayepelekwa ICU yupo maututi. Acheni kua wagumu kuelewa kwamba makufuli amekoseya na kuchemka.
 
CCM mwaka huu tumepatikana,mwee!
Siku hizi sina hamu ya kwenda kijiweni kupiga siasa maana kila siku nakuta wameshaniandalia video ya Makofuli akiboronga.
Juzi ilikuwa ya JK alale pema,jana ya rais awamu ya saba,sasa kesho itakuwa hii!
 
walibugi mbaya. walikuwa wanamfaham kwa undani kweli?
 
Kikwete mwenyewe muongo kasema walioandikisha kupiga kura n 28, wakati tume ya uchaguzi imesema 22 https://jamii.app/JFUserGuide off yaan hatuna raisi na mkuu wa jeshi ndo hvyo hajulikani alipo
 
Magufuli ni msanii kuliko hata kikwete. Ni hatari
 
Back
Top Bottom