Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Magufuli alikuwa na nafasi nzuri sana ya kuweza kuua upinzani lakini akatumia nguvu ndio maana yake akashindwa.
Samia kaingia kwenye mfumo katika kipindi ambacho upinzani/wapinzani wameshakuwa sugu . Kipindi ambacho wapinzani waliishiwa hofu
Katumia akili kidogo tu anakaribia kuummaliza upinzani.
Niko pale nimeetulia nasubiri enzi za ujamaa zirudi . Ila hofu yangu je, huo utakuwa ujamaa wa kweli au ujanja ujanja?
Samia kaingia kwenye mfumo katika kipindi ambacho upinzani/wapinzani wameshakuwa sugu . Kipindi ambacho wapinzani waliishiwa hofu
Katumia akili kidogo tu anakaribia kuummaliza upinzani.
Niko pale nimeetulia nasubiri enzi za ujamaa zirudi . Ila hofu yangu je, huo utakuwa ujamaa wa kweli au ujanja ujanja?