Magufuli aliwachukia Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya kwa makusudi

Magufuli aliwachukia Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya kwa makusudi

Status
Not open for further replies.

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.

Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.

Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.

Tazama appointments za kitaifa sasa hivi, na hilo unaliona.

Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
 
Hilo halina ubishi, haswa Wanyakyusa, Wahaya na Wachagga walichukiwa sana! Hata sisi wa makabila mengine tuliliona hili wazi wazi wenzetu wakitengwa! Ingawa kwa ujumla alipendelea sana Wasukuma!

Hilo lipo wazi wasukuma ndo walikuwa wanakula keki ya Taifa!
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.

Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.

Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.

Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
We jamaa ni kakabila
Mtu unaemsema ashakufa tayari.
Haisaidii chochote fanya kazi. Ujiletee maendeleo
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Jamani sasa tutafanyaje na ameshaenda, ameenda mbali hatutaweza kumconfront hata tumuulize kwa nini alifanya vile, basi maisha yaendelee
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Muongo mkubwa wewe, Mwakalinga, Mwakyembe, Mwamunyange na wengine wengi uliwateaua wewe? nahao ni wa Kyela tu.
 
Hilo halina ubishi, haswa wanyakyusa, wahaya na wachagga walichukiwa sana! Hata sisi wa makabila mengine tuliliona hili wazi wazi wenzetu wakitengwa! Ingawa kwa ujumla alipendelea sana wasukuma!

Hilo lipo wazi wasukuma ndo walikuwa wanakula keki ya Taifa!,
Nitatoa mfano mmoja hai. Jaji Mstaafu Mihayo yuko kwenye Tume ya Uchaguzi kama mjumbe; ni Mwenyekiti wa Bodi ya Watalii sijui kama anaendelea na wadhifa huo baada ya matumizi mabaya ya fedha; mwenyekiti wa Vodacom ambayo inafanya vibaya sana siku hizi hasara tupu!!! Huo ndio ulikuwa upendeleo wake kwa wasukuma!!! Sijagusia huko mahakamani alikojaza wasukuma wenzie kila level!!!

Ugonvi wake na Mwandosya ndio ukamfanya awachukie wanyakyusa!!!!
 
Muongo mkubwa wewe, Mwakalinga, Mwakyembe, Mwamunyange na wengine wengi uliwateaua wewe? nahao ni wa Kyela tu.

Hao uliowataja ni proportion ngapi ya wanyakyusa wasomi waliostahili kuteuliwa? Na hao kama ulivyosema ni Kyela!!!!

Huyo Mwakalinga alikuwa mshirika wake wa ufisadi toka TBA wakati wanauza nyumba za serikali hivyo alikuwa mshikaji wake; akampandsha cheo, akawa katibu mkuu!!! Mwakyembe ndio huyo ametumiwa na kutupwa !!!
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Mkuu mwenda zake mungu anamuona ,aliamini fanya chato kua jiji, na watakaoshiriki tengeneza mkoa wa chato wajue hawako salama asema bwana ,hawataki basi full stop
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Nchi ilikuwa matopeni
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
Mkweli
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
To be honest
Jamaa alikuwa na chuki za kijinga sana
Anastahili za uso
Vumilia mmatumbi
Mambo ni zam zam
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom