Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Amevuna alichopandaSiyo siri, Magufuli aliishi kwa chuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amevuna alichopandaSiyo siri, Magufuli aliishi kwa chuki.
Aendelee kuminya huko aliko .Mbowe ni Mpuuzi sana ndio maana Hayati aliminya ushenzi kama huu , katika swala ambalo watz huwa hatuharibiwi ni hili la ukabila na kiongonzi anayeongelea makabila ni mpambavu
Sasa hivi mtakula maneno yenu na mtashiba.Hii propaganda ya ubaguzi this time itakula kwake Mbowe, alimchezea JK kwa kuwa Msoga na watu wa Pwani ni wachache ila kwa wasukuma ajue itamrudia vibaya, anachofanya ni kuwaambia wasukuma CDM sio sehemu salama kwao.
Tumia akili uliyopewa na Mungu wako.Mwakiembe alikua wa mtera?
Kimei alikua wa Sumbawanga?
Wachaga mnamtumia zero brain na chama chenu cha kichaga uongozi mtaishia kuuona kwenye tv.
Wewe Mpumbavu achana na Wahaya..!! Fala wewe wahaya hatukuwahi kuchukiwa na Magufuli yule mnaemcheka kukaa kwenye Ukatibu mkuu kiongozi kwa muda mfupi alikuwa mmakonde?Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.
Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.
Magufuli alikuwa mharibifu.
Wewe wa kuongea mambo serious? Hiyo akili umeitoa wapi?Tumia akili uliyopewa na Mungu wako.
Hapa tunaongea mambo serious.
Huna hoja.Kwanza Mwakyembe si kipimo cha Magufuli kuitendea haki Mbeya
Wewe ndiye usiye na hoja , nani alikuambia Mbeya haikuwa na meli ?Huna hoja.
Meli zote hizo kawaletea.
Barabara za huko Chunya.. Airport ya Songwe kaipanua. Kawaletea utalii nyanda za huko. Mchoro wa SGR Unafika hadi Mbeya.
Kawapa Naibu spika. Kawapa mawaziri kila aina.
Kilichobaki ni ukabila tu.
Alishindwa kwenye kura za maoniMwakyembe alishindwa ubunge na watu wa Kyela walimchoka,lakini bado akapewa kazi na mwendazake, au hujui ni kazi gani alipewa Mwakyembe baada ya kukosa ubunge?
Mind yako iko negative Sana kuona vitu negative Sana mkuu.Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.
Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.
Magufuli alikuwa mharibifu.
Cdm ilidhulumiwa Nyamagana, Geita mjini, Ukerewe, Mara zaidi ya nusu ya majimbo, Shinyanga mjini. Wasukuma wanaikubali sana Cdm sema dhulma. Na Mungu amelipa . Mtaka yote kwa pupa .........[emoji3517]Hii propaganda ya ubaguzi this time itakula kwake Mbowe, alimchezea JK kwa kuwa Msoga na watu wa Pwani ni wachache ila kwa wasukuma ajue itamrudia vibaya, anachofanya ni kuwaambia wasukuma CDM sio sehemu salama kwao.
Bashiru.Uchaggani hadi Augustino Mrema alipata uteuzi japo mpinzani.
Mbeya akina Mwakyembe nk nk
Wahaya ndio usiseme Mwijage, Tibaijuka, Bashungwa nk nk
Naibu spika wa kudhulumu kura za wananchi [emoji102]. Mungu hadhihakiwiHuna hoja.
Meli zote hizo kawaletea.
Barabara za huko Chunya.. Airport ya Songwe kaipanua. Kawaletea utalii nyanda za huko. Mchoro wa SGR Unafika hadi Mbeya.
Kawapa Naibu spika. Kawapa mawaziri kila aina.
Kilichobaki ni kulazimisha ukabila tu nchi isitawalike. Achana na Mbowe.
Bwashekhee hii ni vita ya wachaga na vyama vyao vya kichaga,Sasa watu wamewaonyesha vidole vya ukabila ndo wameongeza makabila ambayo mwenyekiti wa Sacco's zao hajayataja .Uchaggani hadi Augustino Mrema alipata uteuzi japo mpinzani.
Mbeya akina Mwakyembe nk nk
Wahaya ndio usiseme Mwijage, Tibaijuka, Bashungwa nk nk
Wanaumia Sana Mana walizoea kubebwa bebwa afu wanakuja kujikweza eti Mara tumesoma saivi Kuna mpaka mbwa zimesoma so elimu isn't longer a big deal saivi mnajificha kwa hoja ya ukabila.Ukisema haya mambo anza kulinganisha basi. Ni kitu gani ambacho kipo chato afu hakipo Moshi?
Upole wa wasukuma unawaponza Sana.
Naibu spika alianza kuteuliwa afu akawa Naibu spika.Naibu spika wa kudhulumu kura za wananchi [emoji102]. Mungu hadhihakiwi
Nimeamini nchii tumeibiwa sana tena hasa na wachaga waliokua wamejazana TRA, TPA,CRDB,NMB,WIZARA YA FEDHA n.k.Wewe ndiye usiye na hoja , nani alikuambia Mbeya haikuwa na meli ?