Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wewe mkuu kuna jambo hulijui kuhusu Mwendazake , Mwakyembe yuko wapi sasa ?Muongo mkubwa wewe, Mwakalinga, Mwakyembe, Mwamunyange na wengine wengi uliwateaua wewe? nahao ni wa Kyela tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mkuu kuna jambo hulijui kuhusu Mwendazake , Mwakyembe yuko wapi sasa ?Muongo mkubwa wewe, Mwakalinga, Mwakyembe, Mwamunyange na wengine wengi uliwateaua wewe? nahao ni wa Kyela tu.
Astakafullahi!Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.
Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.
Magufuli alikuwa mharibifu.
Mwakyembe yuko MUHAS. Ni mwenyekiti wa Board kama sijakosea.Wewe mkuu kuna jambo hulijui kuhusu Mwendazake , Mwakyembe yuko wapi sasa ?
Kwa mara ya kwanza nakupongeza kwa kuwa mkweliHili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.
Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.
Magufuli alikuwa mharibifu.
Hujanijibu hoja.Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
Mkuu huko Mbeya na Kagera haujaona Meri? Barabara za huko Chukua?Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.
Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.
Magufuli alikuwa mharibifu.
Kapanda au kaporomoka ?Mwakyembe yuko MUHAS. Ni mwenyekiti wa Board kama sijakosea.
Sasa hivi Kalemani and co. Wako saba, kina Mwakyemba unaowataja wako wapi.Muongo mkubwa wewe, Mwakalinga, Mwakyembe, Mwamunyange na wengine wengi uliwateaua wewe? nahao ni wa Kyela tu.
Mwakyembe alishindwa ubunge na watu wa Kyela walimchoka,lakini bado akapewa kazi na mwendazake, au hujui ni kazi gani alipewa Mwakyembe baada ya kukosa ubunge?Wewe mkuu kuna jambo hulijui kuhusu Mwendazake , Mwakyembe yuko wapi sasa ?
Hayo unayajua wewe lakini tunachojua ni kuwa amepewa kazi.Kapanda au kaporomoka ?
Meli hata Busisi ilikuwepoMkuu huko Mbeya na Kagera haujaona Meri? Barabara za huko Chukua?
Nahisi humu unawaandikia wasio ijua hii nchi vizuri.
Kwanini asimteue ubunge wa viti maalum ?Hayo unayajua wewe lakini tunachojua ni kuwa amepewa kazi.
Ukisema haya mambo anza kulinganisha basi. Ni kitu gani ambacho kipo chato afu hakipo Moshi?Meli hata Busisi ilikuwepo
Barabara ha kwenda Zambia ni one way one lane, huku flyover Busisi na uwanja wa ndege Chato.
Ubaguzi haujifichi.
Hapo Uzi imeisha? 😄😄😄😄Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.
Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.
Magufuli alikuwa mharibifu.
Mwanasiasa ulitaka aweke wapi?Kapanda au kaporomoka ?
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.
Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyejigufuli alikuwa mharibif
Siyo siri, Magufuli aliishi kwa chuki.Sisi wazee wa ufipa tunamkumbuka sana
Kwanza Mwakyembe si kipimo cha Magufuli kuitendea haki MbeyaMwanasiasa ulitaka aweke wapi?
Maana alikuwa waziri sasa kula hazikutosha. Angepewa Urais?