Magufuli aliwachukia Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya kwa makusudi

Magufuli aliwachukia Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya kwa makusudi

Status
Not open for further replies.
Mungu hadhihakiwi, sasa hivi yupo huko amekutana uso kwa uso na wale aliowapoteza kupitia genge lake la WASIOJULIKANA.
giphy.gif
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Naona unakunya hadharani ,
 
Nimeamini nchii tumeibiwa sana tena hasa na wachaga waliokua wamejazana TRA, TPA,CRDB,NMB,WIZARA YA FEDHA n.k.

Kumbuka wachaga wapo radhi kufanya lolote pesa iingie.

Hata mama Samia awe nanyi Makini sana maana ni wezi wakubwa wa mali za umma,kuanzia mawaziri wenu walopita mpaka kizazi hiki
Ubaguzi haujifichi naona umeamua kuchana live. Tukiwaambia magufuli alikuwa na ubaguzi mnakataa. Mfano halisi ni wewe mfuasi wake. Na yote hii si kingine bali WIVU ni kidonda kibaya sana.
 
Mpuuzi sana Huyu mleta mada. Hajui kuwa maneno yanaumba.

Wahaya na wanyakyusa wamejaa serikalini hivi sasa.

Akili kama hizi ndizo zilizoivuruga Rwanda kabla ya 1994.
Jibu swali kwanini magufuli alisema sehemu walizochagua upinzani hatapeleka maendeleo? Huo siyo ubaguzi? Wacheni kutetea upumbavu. Magufuli alikuwa na tabia za kishenzi na lazima tulikemee hili.lisijirudie tena. NEVER NEVER AGAIN!
 
Jibu swali kwanini magufuli alisema sehemu walizochagua upinzani hatapeleka maendeleo? Huo siyo ubaguzi? Wacheni kutetea upumbavu. Magufuli alikuwa na tabia za kishenzi na lazima tulikemee hili.lisijirudie tena. NEVER NEVER AGAIN!
Magufuli hakuongelea makabila yabaguliwe moja kwa moja kama mleta mada.

Hayati alichukia mizengwe ya kisiasa, pesa za bajeti zinapatikana kwa mawaziri kukubaliana na matusi ya wazungu halafu zikielekezwa majimboni anaibuka mtu analeta siasa za kupinga maendeleo!.

Viwanja vya ndege vimejengwa kila kona ya Tanzania. Barabara zimejengwa kila kona ya nchi.
Maji yanapelekwa kila kona ya nchi.
Hayati hakupenda ujinga wa siasa za kupinga maendeleo yanayopatikana kwa jasho.
 
Magufuli hakuongelea makabila yabaguliwe moja kwa moja kama mleta mada.

Hayati alichukia mizengwe ya kisiasa, pesa za bajeti zinapatikana kwa mawaziri kukubaliana na matusi ya wazungu halafu zikielekezwa majimboni anaibuka mtu analeta siasa za kupinga maendeleo!.

Viwanja vya ndege vimejengwa kila kona ya Tanzania. Barabara zimejengwa kila kona ya nchi.
Maji yanapelekwa kila kona ya nchi.
Hayati hakupenda ujinga wa siasa za kupinga maendeleo yanayopatikana kwa jasho.
Naona unakwepa kujibu swali langu bwana Filipo
 
Naona unakwepa kujibu swali langu bwana Filipo
Hayati hakuwa na kipaji cha mawasiliano lakini kilichotoka moyoni mwake kwa ajili ya watanzania siku zote kilikuwa na lengo la kuineemesha Tanzania.

Mpaka watoto wadogo walilia. Alale mahali pema peponi.
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Magufuli alikuwa kila baada ya miezi kadhaa lazima aende Chato au Kanda ya Ziwa kukagua mafekeche yake
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
Acha ujinga , kenge mweusi wewee, kwani ni uongo kwamba Dikteta Magufuli alikuwa ni mbaguzi wa wazi wazi, alienda mbali zaidi kwa kuongea kisukuma akiwa kwenye mikoa ya watu wake. Shenzy sana.
 
Mbowe ni Mpuuzi sana ndio maana Hayati aliminya ushenzi kama huu , katika swala ambalo watz huwa hatuharibiwi ni hili la ukabila na kiongonzi anayeongelea makabila ni mpambavu
Hence Magufuli alikuwa mpumbavu
 
Hili swala wachaga litawatafuna kizazi hadi kizazi na kibaya zaidi kabila lenye ukabila hapa Tz ni wachaga hawa wengine wanaelewana ,
Chaga waendelee kusubili sana mpaka mwisho wa Dunia hakuna anayewaamini tena baada ya kupandikiza ukabila Stupid people ,shenzi kabisa
 
Hili swala wachaga litawatafuna kizazi hadi kizazi na kibaya zaidi kabila lenye ukabila hapa Tz ni wachaga hawa wengine wanaelewana ,
Chaga waendelee kusubili sana mpaka mwisho wa Dunia hakuna anayewaamini tena baada ya kupandikiza ukabila Stupid people ,shenzi kabisa
Magufuli mmoja ni mkabila kuliko wachaga 1000
 
Kuficha mabaya sio jambo jema tuyaseme hayo mabaya ya wachaga
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Muache Magu apumzike....
mbona mzimu wake unawatesa namna hii!!??
unazungumzia uteuzi kitaifa Tulia spika mnyaki..
Mwakyembe mkuu wa Chuo
 
Chifu alikiwa anaamini katika kupindua meza. Hakuelewa kabisa kwanini kile Kijiji kiliitwa "Twende Pamoja"

Yeye aliamini kwamba Ni lazima mmoja aliye juu afe ndio mungine aliye chini ainuke. Hakuamini katika kunyanyua wote kila mtu kwa jambo lake na changamoto zake.
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
 
Uchaggani hadi Augustino Mrema alipata uteuzi japo mpinzani.

Mbeya akina Mwakyembe nk nk

Wahaya ndio usiseme Mwijage, Tibaijuka, Bashungwa nk nk
Hivi vyama ambavyo vinamilikiwa na wachagga ni tatizo sana. Kwanza wamevifanya SACCOS halafu wamekatalia madarakani
  • Mrema ( TLP )
  • Mbatia ( NCCR )
  • Mbowe ( CDM)
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
Kama huwezi kuuona ubaguzi alioufanya dhidi ya hawa watu badi wewe ni kipofu. Vinginevyo wewe ni mnufanika mnafiki wa kiwango cha juu sana.
 
Kufumbia fumbia macho au kuona aibu nadhani madhara yake ni makubwa zaidi. Tuwe wakweli na tukemee tabia ya magufuli ya kubagua maendeleo kwa baadhi ya mikoa hata kichama eti kwakuwa hawakuichagua ccm basi wasahau kupata maendeleo ni tabia ya kishenzi na ya kipuuzi na inatakiwa kupingwa na watu wote.
Kweli mkuu, gatizo la mapungufu ya Magufuli lazima yasemwe.
Hayawezi kufumbiwa macho.
Mwalimu Nyerere hakuwahi kuwa mkabila kama tulivyoona kwa Magufuli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom