Magufuli aliwachukia Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya kwa makusudi

Magufuli aliwachukia Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya kwa makusudi

Status
Not open for further replies.
Bwashekhee hii ni vita ya wachaga na vyama vyao vya kichaga,Sasa watu wamewaonyesha vidole vya ukabila ndo wameongeza makabila ambayo mwenyekiti wa Sacco's zao hajayataja .

Humu hata wanaoongoza vita ya ukabila kuwaita wenzao SULUMA GANG ni wachaga kabisa,Wacha waendelee kupanda mbegu ya chuki ya ukabila wakiamini watapona mbele I.

..mbegu ya ukabila na udini ilipandwa na ccm.

..kuna chama kilianzishwa na John Cheyo kinaitwa UDP.

..CCM walikipiga vita kwa kudai ni chama cha kikabila cha Wasukuma.

..CUF nao walipakaziwa kuwa ni chama cha Kidini cha Waislamu wenye siasa kali.

..Wakati huo CDM kilikuwa dhaifu hivyo hakikupigwa vita.

..Chama chochote kikionekana kinakua kwa kasi lazima CCM wakipakazie kwa propaganda chafu.

..Sasa hivi propaganda za CCM zimeanza kuleta migawanyiko ktk jamii.
 
Jamani jamani jamani.....maneno gani hayo. Wakina Muro Mkuu wa mkoa Tabora Mwandri na wengine wengi wamepewa kazi..
 
Wamakonde huko NTWARA JE,atapiga ma aunt wetu wore.
Kamanda sisi wamakonde utuache kabisa kwenye hizo propaganda zenu chafu za ukabila. Usituingize kwenye siasa zenu za ukabila.
Btw, hivi ni nani asiyeyajua makabila yanayoongoza kwa ubaguzi wa kikabila nchini? Nyie wachaga tunawajua sana, ila tunanyamaza kwa sababu ya kuhifadhi umoja wetu wa kitaifa.
 
Nimeamini nchii tumeibiwa sana tena hasa na wachaga waliokua wamejazana TRA, TPA,CRDB,NMB,WIZARA YA FEDHA n.k.

Kumbuka wachaga wapo radhi kufanya lolote pesa iingie.

Hata mama Samia awe nanyi Makini sana maana ni wezi wakubwa wa mali za umma,kuanzia mawaziri wenu walopita mpaka kizazi hiki
Never and never again
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Huyo alikuwa ni kiongozi mmoja mbaya kabisa kwenye taifa hili.

Tutakuwa tunafanya makosa makubwa kuhusisha ubaya wake na kabila lake au na makabila mengine.

Yeye alitenda aliyotenda kama yeye, hakutumwa na kabila lake. Chuki zake ni zake, sio za watu wa kabila lake.

Kwa hiyo ni makosa kabisa kuhusisha ubaya wake na kabila lake. Anaweza akawa na wafuasi kadhaa ndani ya kabila lake, lakini hiyo haiwezi kuhalalisha hukumu ya kabila lote.

Sasa basi, tusijiingize kwenye mtego mbovu ambao utatunasa nasi tuonekane hatuna tofauti yoyote na huyo kiongozi mbaya kabisa kuwahi kutokea ndani ya taifa hili.

Ni wakati wa waTanzania kwenda mbele sote kwa pamoja. Hatuna muda wa kujitambulisha na hivi vikabila vyetu.
 
Wachaga enzi zenu zilishapitwa na wakati kwamba waziri wa fedha na nishati na madini lazima atoke uchagani,enzi za kina Daniel Yona,Mramba.Hawa jamaa ndo walimfanya Magufuli awaogope wachaga.
Hata hivyo Prof Magembe,Mwaijage, Bahiru ,Tibaijuka vihela vya mboga,
walikuwa wa wapi vile?
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
Wewe ni mmoja ya wachache waliokuwa wanafaidi lakini 99% hakuna kitu
 
Wachaga ndio wanaoeneza ukabila. Huu uzi umeanzishwa na mchaga kupata sapoti ya ule upuuzi ulioongelewa na mbowe.
 
Mwakilishi na msemaji wa wachaga Mbowe jana kasema hadharani juu ya hiki ulichokiandika. Na wew jitokeze hadharani uwasemee wanyakyusa! Ila mnaudhi na mnaboa sana, yaani kweli leo hii tuanze kutetea makabila!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Ni shida
Hilo halina ubishi, haswa wanyakyusa, wahaya na wachagga walichukiwa sana! Hata sisi wa makabila mengine tuliliona hili wazi wazi wenzetu wakitengwa! Ingawa kwa ujumla alipendelea sana wasukuma!

Hilo lipo wazi wasukuma ndo walikuwa wanakula keki ya Taifa!,
 
Sijakuelewa unataka kusema nn
Bora uwekezaji wa muhaya Kujudge ilikuwa watu wanapata hela mishahara (Mahakama) wengine kha siyo KAZI kabisa Bora kama aliuwawa alijudge vibaya kwa mujibu wa sheria...

Mbinu za kupatia uongozi kweli zimekuwa ngumu... Mawazo moja haliji tokea TZ Bora kuanza kusaisha disesation za watoto wa Chuo huwa hazifanani..
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
Kufumbia fumbia macho au kuona aibu nadhani madhara yake ni makubwa zaidi. Tuwe wakweli na tukemee tabia ya magufuli ya kubagua maendeleo kwa baadhi ya mikoa hata kichama eti kwakuwa hawakuichagua ccm basi wasahau kupata maendeleo ni tabia ya kishenzi na ya kipuuzi na inatakiwa kupingwa na watu wote.
 
Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania.
Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi.

Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu.
Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona sasa.
Tazama appointments za kitaifa sasa hivi , na hilo unaliona.
Miradi ya maendeleo nayo ilisitishwa sehemu wanazotoka wenyeji wa mkabila hayo.

Magufuli alikuwa mharibifu.
Hii ni coincidence ama planned agenda? Kaanza Mbowe kuongelea ukabila, sasa minions wake (wana JF) mmepokea kiitikio. Tena wewe ili uungwe mkono na wengi zaidi umeamua kuiboresha agenda kwa kufanya broader inclusion ya wanyakyusa na wahaya baada ya kuona mbowe kajiongelea wachaga tu ilivyo backfire. It is very interesting to see where this agenda is leading up to. Definitely something is cooking up and bubbling under. All one can do is to be a keen observer.
 
Hii nchi imeshikiliwa na Mwana Mama naona watu wanaendelea kumuchezea matiti (Sharubu angekuwa mwanamme).


Mtu amasimama hadharani kuleta chuki Kati ya Makabila makubwa na hajakemewa hadi sasa. Hii sio poa.
Kwanini magufuli alisema hatapeleka maendeleo sehemu walizochagua upinzani? Na alikuwa anasema haya hadharani. Huoni kuwa hii ni tabia ya kishenzi na inatakiwa kukemewa isijirudie tena?
 
Uchonganishi wa namna hii kupitia mitandao ya Kijamii ndio ulifanya nchi Kama Rwanda ikaingia kwenye Vita vya kikabila1994.
Mtoa maada ni mchonganishi 100%. Nna watu kadhaa nnaowafahamu kwenye hayo makabila uliyotaja ambao waliajiriwa serikalini na taasisi zake Kati ya 2015-2020.
Istoshe Mimi ni mmojawapo wa mtu kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja na nimeajiriwa serikalini. Sijawahi kusikia Kiongozi yeyote akisema mtu toka makabila tajwa asiajiriwe.
Kama Uhuru tulikuwa tunautaka ndio huu, afadhali turudi enzi za Magu tuminywe tu.
Tanzania ya leo ina watoto fulani hivi wapuuzi sana. Ukiingia ndani ya nyumba ya ibada muombe Mungu ili hii roho ya kibaguzi iweze kuondoka nchini mwetu.

Hayati JPM alilijali taifa aliloliongoza kwa nguvu zake zote.
 
Wanyakyusa nimekaa nao sana. Hawatawaunga ktk hili nyie wachaga. Hii meli mmepanda wenyewe wala msivute wengine wawasapoti.
 
Hii ni coincidence ama planned agenda? Kaanza Mbowe kuongelea ukabila, sasa minions wake (wana JF) mmepokea kiitikio. Tena wewe ili uungwe mkono na wengi zaidi umeamua kuiboresha agenda kwa kufanya broader inclusion ya wanyakyusa na wahaya baada ya kuona mbowe kajiongelea wachaga tu ilivyo backfire. It is very interesting to see where this agenda is leading up to. Definitely something is cooking up and bubbling under. All one can do is to be a keen observer.
Mpuuzi sana Huyu mleta mada. Hajui kuwa maneno yanaumba.

Wahaya na wanyakyusa wamejaa serikalini hivi sasa.

Akili kama hizi ndizo zilizoivuruga Rwanda kabla ya 1994.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom