Magufuli aliwakosea nini Awamu ya 5 kipindi Cha pili?

Magufuli aliwakosea nini Awamu ya 5 kipindi Cha pili?

Wajinga jina la stendi ya Magufuli liko mioyoni mwa watu halitofutika aibu yao kutaka kufuta legacy iliyoandikwa kwa chuma cha moto
 
Salaam, Shalom!!


Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?

Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?

Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?

Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.

Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.

Karibuni[emoji120]
Waambie digba sowey Idugunde Nigrastratatract nerve johnthebaptist FaizaFoxy na ChoiceVariable kwamba wewe sio CHADEMA
 
Salaam, Shalom!!


Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?

Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?

Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?

Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.

Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.

Karibuni🙏
Ongeza ni hili "muuaji na mzinzi wa akina jokate"
 
Rasilimali zipi alizolinda.
Bandari, na ndiye aliyeleta muswada wa ulinzi wa Raslimali zetu Bungeni, na Kwa kiasi kikubwa, SHERIA Ile ndiyo imesaidia Sa100 asiuze Kila kitu.

Magu tunakukumbuka sana.

Na Mungu ikikupendeza, tuletee mwingine aina ya Magu, mzalendo.
 
Salaam, Shalom!!


Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?

Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?

Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?

Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.

Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.

Karibuni[emoji120]
Mpenda watu isipokuwa watumishi wa serikali kwa kuwapora stahili zao za kisheria
 
Hayo ongeza wewe,

Mimi namtambua Magu mzalendo, mchapakazi, Mlinzi wa raslimali za nchi.
Dunia hii hakuna mtu mkamilifu lazima awe na mazuri na mabaya pia, sasa wewe kama hutaki kusikia mabaya yake basi nawe una kasoro yako
 
Bandari, na ndiye aliyeleta muswada wa ulinzi wa Raslimali zetu Bungeni, na Kwa kiasi kikubwa, SHERIA Ile ndiyo imesaidia Sa100 asiuze Kila kitu.

Magu tunakukumbuka sana.

Na Mungu ikikupendeza, tuletee mwingine aina ya Magu, mzalendo.
Unamkumbuka wewe, usiwasemee watz
 
Back
Top Bottom