- Thread starter
- #21
Mambo yote huanza na speculations kupima upepo.Stori za kwenye kijiwe Cha kahawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yote huanza na speculations kupima upepo.Stori za kwenye kijiwe Cha kahawa
Lisa ndio nani?Alitumiwa na mafisadi wakamtelekeza ,mbona Lisa walinuokoa wakashindwa Kwa Ben!!?
Waambie digba sowey Idugunde Nigrastratatract nerve johnthebaptist FaizaFoxy na ChoiceVariable kwamba wewe sio CHADEMASalaam, Shalom!!
Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?
Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?
Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?
Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.
Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.
Karibuni[emoji120]
Mimi sio CHADEMA, pia sio CCM.Waambie digba sowey Idugunde Nigrastratatract nerve johnthebaptist FaizaFoxy na ChoiceVariable kwamba wewe sio CHADEMA
Ongeza ni hili "muuaji na mzinzi wa akina jokate"Salaam, Shalom!!
Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?
Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?
Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?
Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.
Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.
Karibuni🙏
Mkuu kama umefuatilia habari kwa undani utagundua kuwa habari juu ya stendi ya Magufuli iliwasilishwa kimakosa na gazeti la habari leo,hivyo hakuna mabadiliko yoyote katika stendi ya JPMWaambie digba sowey Idugunde Nigrastratatract nerve johnthebaptist FaizaFoxy na ChoiceVariable kwamba wewe sio CHADEMA
Hayo ongeza wewe,Ongeza ni hili "muuaji na mzinzi wa akina jokate"
Hayo ongeza wewe,
Mimi namtambua Magu mzalendo, mchapakazi, Mlinzi wa raslimali za nchi.
Hayo ongeza wewe,
Mimi namtambua Magu mzalendo, mchapakazi, Mlinzi wa raslimali za nchi.
Rasilimali zipi alizolinda.Hayo ongeza wewe,
Mimi namtambua Magu mzalendo, mchapakazi, Mlinzi wa raslimali za nchi.
Bandari, na ndiye aliyeleta muswada wa ulinzi wa Raslimali zetu Bungeni, na Kwa kiasi kikubwa, SHERIA Ile ndiyo imesaidia Sa100 asiuze Kila kitu.Rasilimali zipi alizolinda.
Mpenda watu isipokuwa watumishi wa serikali kwa kuwapora stahili zao za kisheriaSalaam, Shalom!!
Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?
Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?
Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?
Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.
Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.
Karibuni[emoji120]
Labda kuhamisha wanyama kupeleka Chato ili iwe sehemu iliyobobea ya utalii kuliko hata Serengeri ambayo ina miaka mingiRasilimali zipi alizolinda.
Dunia hii hakuna mtu mkamilifu lazima awe na mazuri na mabaya pia, sasa wewe kama hutaki kusikia mabaya yake basi nawe una kasoro yakoHayo ongeza wewe,
Mimi namtambua Magu mzalendo, mchapakazi, Mlinzi wa raslimali za nchi.
Unamkumbuka wewe, usiwasemee watzBandari, na ndiye aliyeleta muswada wa ulinzi wa Raslimali zetu Bungeni, na Kwa kiasi kikubwa, SHERIA Ile ndiyo imesaidia Sa100 asiuze Kila kitu.
Magu tunakukumbuka sana.
Na Mungu ikikupendeza, tuletee mwingine aina ya Magu, mzalendo.