Magufuli aliweza vipi kwa Miaka 5?

Magufuli aliweza vipi kwa Miaka 5?

Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
[emoji1666], nakubali.
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Umenena Kweli ! Sio tutozwe mitozo mijitu mingine iitafune hiyo tozo !! Japo tunajua haya maneno yetu wala hawayajali lakini tutaendelea kuwaambia sio sawa kabisa kuzichezea mali za Nchi !!
 
Umenena Kweli ! Sio tutozwe mitozo mijitu mingine iitafune hiyo tozo !! Japo tunajua haya maneno yetu wala hawayajali lakini tutaendelea kuwaambia sio sawa kabisa kuzichezea mali za Nchi !!
Tulishindwa kuwawajibisha kwa sababu walikuwa wanakula bata kwa kutumia misaada waliyoomba (waliyopokea). Sasa tutaanza kuwawajibisha SABABU tunayo.
 
Jiwe aliweza kwasababu....alipewa ramani ya wafanyabiashara hawa na hawa hawajalipa Kodi ya serikali nyingi Tu...yeye moja Kwa moja akawa anadili nao...kama unavyojua watu walimjua jiwe Hana masikhara ni mtu kazi....so watu walilipa miamala na fedha kuonekana
Umesema sawa wafanyabishara wengi wakubwa wanakwepa kodi.
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Itaendelea na upofu wako wa mawazo finyu.nani kakuambia alipora pesa za wafanya biashara?hao ni wakwepa kodi maskini ndo anayelipa kodi tena hao wengi wao hufanya biashara haramu za madawa ya kulevya na inawezekana na wewe ni miongoni mwao.
 
Hakuna alichoweza huyu mtekaji, muuaji na mporaji wa mali za watu. Acha kipotosha
Uko sahihi,

Ajira ziloimshinda.

Miradi ilimshinda,

Kilimo kilimshinda,

Maji yalimshinda,

Barabara ziloimshinda hasa za Tarura,

Watumishi na maslahi ya vilimshinda,

Uchumi ulimshinda,

Afya aliripua ripua,

Na miradi mingine mingi ilimshinda..

Demokrasia ndio kabisaa aliishia kuteka watu,sasa kitu la hivyo la Nini hasa?
 
Uko sahihi,

Ajira ziloimshinda.

Miradi ilimshinda,

Kilimo kilimshinda,

Maji yalimshinda,

Barabara ziloimshinda hasa za Tarura,

Watumishi na maslahi ya vilimshinda,

Uchumi ulimshinda,

Afya aliripua ripua,

Na miradi mingine mingi ilimshinda..

Demokrasia ndio kabisaa aliishia kuteka watu,sasa kitu la hivyo la Nini hasa?
Mafanikio yake pekee ni kutisha, kuteka, kupora na kuua watu
 
Mafanikio yake pekee ni kutisha, kuteka, kupora na kuua watu
Na propaganda maana unashangaa Wafuasi wa Mwendazake wanajaribu kusema ooh hakuna mradi mpya wa ingawa ni uongo ila hutowasikia wakieleza miradi ipi alianzisha Mwendazake na kuimaliza kwa miaka 5 aliyokaa madarakani?
 
Na propaganda maana unashangaa Wafuasi wa Mwendazake wanajaribu kusema ooh hakuna mradi mpya wa ingawa ni uongo ila hutowasikia wakieleza miradi ipi alianzisha Mwendazake na kuimaliza kwa miaka 5 aliyokaa madarakani?
Alikuwa mhuni yule. Alikuwa anazinduwa miradi iliyokwishazinduliwa na mtangulizi wake.

Mfano Mwendokasi, barabara na viwanda kibao vilizinduliwa na Kikwete yeye akarudia
 
Watu wa uchumi watusaidie, hv haiwezekani madhara ya kiuchumi yaliyosababishwa na yeye ndio yanatuumiza Sasa? Miradi mikubwa ambayo inahitaji pesa nyingi na mama hatamani ashindwe kumaliza ili kuepuka kushushiwa lawama ndio sababu kubwa pia.
 
Nikiwa namfanya mamayako lazima nilalamike sababu ya maji mengi.
Hatuwezi kuzuia kuchangia lakini
hii michango iwe inapelekwa kwenye jukwaa husika, ama tujikite kwenye mada. Usikubali kutolewa nje ya mada kirahisi mkuu.
 
Mimi sio Tajiri Ila naangalia Haki.

Masikini wanatabia za WANAWAKE.
Wakiguswa nao wawajibike wanalalamika,
Wanapenda kufanyiwa kila kitu. Hiyo ndio tabia ya Masikini na wanawake, wanafikra za utegemezi na Kupenda vya Bure
Acha ongo. Wanawake wangapi wanaofanya kazi au kujishughulisha na biashara? Kama Mama, mke, shangazi, binti na dada zako wako hivyo usijumuishe wanawake wote.
 
Kinacho ni uma mimi pamoja na tozo hizo hakuna miradi mipya ya kielezo....na ht walioachiwa inaenda mwendo wa kinyonga anaeumwa mdondo...
Dar ilikua ukikatiza unakuta huku Mibarabara inajengwa, huku wanafunga taa barabara za mitaaani, huku mi flyover watu wanachakarika, huku masoko huku hospitali, huku Dawasco wanavuta mabomba...
Asubuhi unapishana na Jaffo na watu wake wa Tamisemi wanaenda kukagua miradi, ukitatiza mbele unakutana na mkutano wa Lukuvi or Bashite wanatatua migogoro ya ardhi...
Ukifungulia TV unakutana na Waziri wa Maji ameliamsha huko mkoani, or waziri wa Nishati yupo Rusumo kwenye Bwawa la Umeme kukagua maendeleo...
Ndalichako na shule zake za Mfano..
Huku Bi Ummy anahangaika na vituo vyake vya Afya
Huku Mpango anapokea gawiwo...
kule Biteko anafungua soko la madini...
kule wakuu wa mkoa wanacheki km tofali za ujenzi ndo zenyewe or wanapokea madawati...
Ukiingia youtube ni video tu za miradi, kuanzia TRC, Tanrods, MeliTV mpaka Tamisemi.
huku JPM anapokea mindege
ili mradi kazi kazi, purukushani za kazi kila sehemu.
Nlikua kila week lazima nipitie website ya Tanraods kujishtua moyo na miradi mipya mipyaaa...now ht ule mradi wa mwendokasi wa kule kwetu g'mboto uliotanganzwa Aug 2020 mpaka leo hakuna jipya.
Now with all that money za mitozo na mikopo inchi bado imelala doro.
What happened to us?
I real miss the old days..
Ila kwenye gawiwo ilikuwa ni mchezo wa kuigiza
 
Back
Top Bottom