Magufuli aliweza vipi kwa Miaka 5?

Magufuli aliweza vipi kwa Miaka 5?

Zamu yetu masikini tunapiga yowe. Wewe ndio miongoni mwa hao matajiri wakubwa aliochukua hela zenu Kwa nguvu?

Halafu cha ajabu huyo anayekejeli hao anaowaita masikini yeye mwenyewe ni masikini kama ana uwezo ni first generation lkn Wazazi wake ni masikini na ukoo wake una masikini wengi tu lkn bado anakejeli masikini, inaonyesha jinsi alivyokuwa insensitive!
 
Kwani wakati wa Magufuli hao unaowaita masikini walikuwa hawalipi?

Kama walilipa iweje sasa hivi kuwe na malalamiko?

Watu wanapenda maendeleo lakini hawataki maumivu ya maendeleo,

Kila mtu achangie maendeleo ya nchi,
Wafanyakazi na wafanyabiashara ndio walizoea kulipa Direct Tax sasa watu wa chini ni zamu yetu
 
Kama walilipa iweje sasa hivi kuwe na malalamiko?

Watu wanapenda maendeleo lakini hawataki maumivu ya maendeleo,

Kila mtu achangie maendeleo ya nchi,
Wafanyakazi na wafanyabiashara ndio walizoea kulipa Direct Tax sasa watu wa chini ni zamu yetu

Wanalalamika kwa sababu wanaona kodi zimewazidia na maisha yanazidi kuwa magumu, ni kawaida, vinginevyo wasingelalamika!
 
Kama walilipa iweje sasa hivi kuwe na malalamiko?

Watu wanapenda maendeleo lakini hawataki maumivu ya maendeleo,

Kila mtu achangie maendeleo ya nchi,
Wafanyakazi na wafanyabiashara ndio walizoea kulipa Direct Tax sasa watu wa chini ni zamu yetu
Kwani kwenye wafanyakazi na wafanyabiashara hakuna watu wa chini? Unataka kutuambia ni wafanyabiashara wakubwa pekee ndio walikuwa wanalipa Kodi nchi hii?
 
Wanalalamika kwa sababu wanaona kodi zimewazidia na maisha yanazidi kuwa magumu, ni kawaida, vinginevyo wasingelalamika!

Malalamiko hayajawahi kusaidia,
Kama hawataki nini kinawashinda kuitoa Madarakani hiyo serikali?

Au ndio wanasubiri watetezi Kama kina Lisu ili watolewe roho alafu wao wabaki na familia zao wakimcheka ooh! Alikuwa kiherehere.

Mimi naona tupo njia sahihi kabisa,

Kama tungekuwa tumeumizwa Sana wala tusingelalamika Ila tungechukua hatua
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Hauendani na comments za kishamba kama hizi. Halafu we ni mtu mzima haunuki maziwa.
 
Hakuna nchi yenye hofu ya Mungu Hilo tuliweke Sawa.

Pili, hakuna nchi iliyoendelea ambayo watu Masikini hawalipi Kodi.

Kodi inakatwa Kwa percentage,
Ukitoa 10% ya elfu na aliyetoa 10% bilioni moja wote ni Sawa mmechangia nchi Kwa uwezo wenu.

Lakini sio usitake kutoa Kodi kisa umasikini, labda uwe Mzee, mtoto, au mgonjwa.

Hutaki kutoa Kodi Acha kuishi, rahisi Sana.
Alafu mtu Kodi hataki kutoa kisingizio umasikini wake lakini kuzaa watoto wengi yeye, kuoa wake wengi yeye, kunywa pombe Yeye,
Kama anapata pesa za hayo, iweje akose Tsh 100 ya Kodi Kwa ajili ya nchi yake ambayo anaishi Kwa Amani.

Au anafikiri ulinzi na usalama ni Bure?

Niliwahi kusema, Kama hatutavamia mataifa mengine basi option tuliyobakiwa nayo ni kukamuana Sisi Kwa Sisi.
Taikon wakati wa Magufuli hizo asilimia 10 za Kodi masikini walikuwa hawazilipi?
 
Kinacho ni uma mimi pamoja na tozo hizo hakuna miradi mipya ya kielezo....na ht walioachiwa inaenda mwendo wa kinyonga anaeumwa mdondo...
Dar ilikua ukikatiza unakuta huku Mibarabara inajengwa, huku wanafunga taa barabara za mitaaani, huku mi flyover watu wanachakarika, huku masoko huku hospitali, huku Dawasco wanavuta mabomba...
Asubuhi unapishana na Jaffo na watu wake wa Tamisemi wanaenda kukagua miradi, ukitatiza mbele unakutana na mkutano wa Lukuvi or Bashite wanatatua migogoro ya ardhi...
Ukifungulia TV unakutana na Waziri wa Maji ameliamsha huko mkoani, or waziri wa Nishati yupo Rusumo kwenye Bwawa la Umeme kukagua maendeleo...
Ndalichako na shule zake za Mfano..
Huku Bi Ummy anahangaika na vituo vyake vya Afya
Huku Mpango anapokea gawiwo...
kule Biteko anafungua soko la madini...
kule wakuu wa mkoa wanacheki km tofali za ujenzi ndo zenyewe or wanapokea madawati...
Ukiingia youtube ni video tu za miradi, kuanzia TRC, Tanrods, MeliTV mpaka Tamisemi.
huku JPM anapokea mindege
ili mradi kazi kazi, purukushani za kazi kila sehemu.
Nlikua kila week lazima nipitie website ya Tanraods kujishtua moyo na miradi mipya mipyaaa...now ht ule mradi wa mwendokasi wa kule kwetu g'mboto uliotanganzwa Aug 2020 mpaka leo hakuna jipya.
Now with all that money za mitozo na mikopo inchi bado imelala doro.
What happened to us?
I real miss the old days..
 
Taikon wakati wa Magufuli hizo asilimia 10 za Kodi masikini walikuwa hawazilipi?

Kodi zote za sasa zimeanzishwa wakati WA JPM, sasa hivi ni utekelezaji tuu.

Mimi huwaga nashangaa jinsi Watanzania tunavyofikiri.

Hata nije niongoze Mimi au wewe mambo yataenda hivihivi au zaidi ya hivi.
Mfumo unatakiwa ufanyiwe marekebisho makubwa, foundation ya nchi iko hivyo,
Mifumo ya sheria na Katiba inapaswa isukwe upya.

Sasa Watanzania tukiambiwa hayo tunaona uzito, yakija yanayotugusa moja Kwa moja tunapiga yowe!
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Uyasemayo yana ukweli ni haki ya kila mtu kulipa kodi lakini serekali imewawezesha kwa kiwango gani wananchi wake katika maisha yao kuweza kulipa kodi au watu walipe kodi bila kujua uwezo wao wakati kwa sasa kilo 1 ya unga sembe inakaribia 2000.
 
A. Kutokuajiri graduates ata kwa uchache san -> Baaad.

B. Kama alivyosema ROBERT HERIEL apo juu i.e unyan'anyi ridiculous Robbin Hood stuff

C. Faking, faking and faking

Mpaka akili zikae Sawa Kwa watu wengi hapa nchini.
Serikali inapaswa izidishe maradufu.

Nchi haiwezi kuendelea kuliwa na watu wajinga wengi,
Angalia nchi zote zilizoendelea karibu zote zilipitia kipindi cha maumivu makali, ugumu wa maisha, Kodi kubwa, kuoneana, gap baina ya walionacho na wasionacho kuwa kubwa, ubadhirifu wa Mali za umma n.k.
Tukishaweza kuongea lugha moja bila kujali UCCM na UCHADEMA basi hapo ndipo nchi hii itaendelea.

Kwa sasa bado sana
 
Magufuli aliweza vipi kuendesha nchi kwa miaka 5 bila ya kuwaminya Wananchi kwa kodi na tozo?

Na msiniambie alikopa kwani mpaka Samia anaingia debt to GDP ratio Tanzania ilikuwa one of the lowest Duniani na ndani ya mwaka mmoja deni limeongezeka kwa > 50% sasa aliweza vipi kulipa Mishahara, kujenga Miundo mbinu kama Barabara, Reli, Bandari, Airports, kununua ndege na kufufua shirika la Airtcl, kujenga na kuweka Meli karibia kila Ziwa kubwa Tanzania, kujenga Madaraja kama mto Wami hapo hapo kujenga Dodoma kama Mji Mkuu?

Nijibuni aliweza vipi ? Magufuli was a genius, sasa hivi vilio kila mahali na ndio mwanzo tu, …
Kupora fedha za wafanyabiashara wakubwa ndiyo ugenius huo?Acheni za uroho na ubaguzi yule alikuwa shetani mla watu.
 
Back
Top Bottom