Hata huyu naye ni kiongozi swali ni hawa viongozi busara na hekima viko wapi? Alisema Mzee Mwinyi nchi inaendeshwa bila usukani hakukosea.Mbowe ndio kabisa alimchukua Wema Uwanja wa Taifa kuiona mechi ya Yanga na Simba. Yaani alimsahau hata mke wake, duh!
CCM sio watu kama wanamzungusha kumlipa mke wa Komba kumlipa sikushangaa kwa WemaNa kuwalipa hataki anadai ni madai hewa waende kwa Kikwete! Kweli tenda wema uende zako usingoje shukrani.
CCM sio watu kama wanamzungusha kumlipa mke wa Komba kumlipa sikushangaa kwa Wema
Yan doh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endeleen kusubiri Tanzania ya viwanda[emoji23]
Ccm hoyeeeeee
View attachment 480298 "Nyinyi mlio hapa ndiyo wasanii wazuri siyo wale wanaochukuliwa na upande ule kule" - Magufuli
Neno moja kwao wasanii hawa.
Source Eatv
Walibaki njaa zaoView attachment 480298 "Nyinyi mlio hapa ndiyo wasanii wazuri siyo wale wanaochukuliwa na upande ule kule" - Magufuli
Neno moja kwao wasanii hawa.
Source Eatv
View attachment 480298 "Nyinyi mlio hapa ndiyo wasanii wazuri siyo wale wanaochukuliwa na upande ule kule" - Magufuli
Neno moja kwao wasanii hawa.
Source Eatv
View attachment 480298 "Nyinyi mlio hapa ndiyo wasanii wazuri siyo wale wanaochukuliwa na upande ule kule" - Magufuli
Neno moja kwao wasanii hawa.
Source Eatv
Nenda mahakamani kama kweli una uchungu na nji hii.Ameweza kumzungumzia Wema Sepeku lakini kashindwa kumzungumzia Bashite na vyeti vyake vya kufoji! Eh! Mungu inusuru nchi yetu na hili janga kubwa linaloikabili.
Mhhhh!! watch out, you have gone far.His skull contains mucus instead of brain
mbona kama wamelala ote
Hebu utuambie ukweli hapa. Tangu uanze kumfahamu yule bwana na neno gani LA busara na lilojaa hekima alilowahi kulitoa kinywani mwake?Wewe una hekima gani?? Au kuwa nyuma ya kikeyboard yako??
Kabadili tabia na kuanza kuvuta bangi hahaha ha h.Leo ndiyo anamjua sio msanii mzuri, kipindi anawapigia kampeni akuyaona hayo...