Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kahukumu nini sasa, Au mimi ndiye sijui kusoma fasihi?"Ninapozungumza hapa tu, pamoja na kwamba sitakiwi kuhukumu, mwenyekiti wenu wa Umoja wa Vijana yuko rumande kwa kushikwa na rushwa. Huo ndio Umoja wa Vijana tuliokuwa tunaenda nao."
Sasa kama unajua hutakiwi kuhukumu mbona unahukumu?????
![]()
hatakiwi kuhukumu
Mnyeti anezawadiwa u RC, una la zaidi?Hivi mbona ule ushahidi wa Nasari aliopeleka Takukuru kuhusu Mnyeti and his company wa video za Rushwa hakuna mrejesho wowote?
Ni kweli, ccm waongo sana haka ka sadifa nakaona kamejizeekea kabisa, uvccm nao wakaguliwe vyeti vya kuzaliwa lzm wamefoji hawaIla CCM ni waongo balaa. Kwa hiyo huyu ni kijana?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ila CCM ni waongo balaa. Kwa hiyo huyu ni kijana?
Wamesema hawawezi kuutumia kwa sababu ulioambatana na mambo ya kisiasaHivi mbona ule ushahidi wa Nasari aliopeleka Takukuru kuhusu Mnyeti and his company wa video za Rushwa hakuna mrejesho wowote?