Elections 2015 Magufuli amshushia tuhuma Job Ndugai, amtahadharisha kuunga mkono kauli za Lowassa

Elections 2015 Magufuli amshushia tuhuma Job Ndugai, amtahadharisha kuunga mkono kauli za Lowassa

​Kwani hata magufuli si ni team lowassa...tena muaminifu haswa!!!
 
Naskia leo amemuamrisha RPC wa dodoma

Hivi mtu wa type hii hata asiyejua mipaka yake ana maana kweli?

Hajui hata tofauti ya mgombea urais na Rais..
anaanza kutoa order kama keshakuwa Rais
na mtu yeyote anaetoa order jukwaani ujue huyo mtu ni bogus
sababu angemuuliza chemba mhusika pengine angepewa majibu na kujua tatizo lilipo

Eti anaagiza maji yaanze kutoka kabla hajaapishwa..sasa kama pesa za mradi
hazijafika halmashauri wafanyeje?
 
Mkuu Tatizo Watanzania Tunafanya Vitu Kwa Mazoea Na Esp Pale Tunapoongozwa Na Mtu Mpole Asiyejua Kukemea Na Kunyooshea Kidole Ndo Kabisaa Kila Mtu Anajiona Bosi.Hembu Angalia Uongozi Wa Mkapa Na Jakaya,mkapa Atleast Alikuwa Mkali Maendeleo Kidogo Tukawa Tunayaona Njoo Kwa Jakaya Angalia Upole Wake Ulivofanya Watumish Wa Serikali Kuwa Jeuri.Tunamhtaji Rais Anaekemea.

Yaani hivi unavyosema wewe ndo Waganda wengi walikuwa wanasema
mwanzoni Iddi Amin alipokuwa Rais.....i am sure unajua yalipoishia
 
The worst part ya style hii ya uongozi ni wale watu 'the best brain' kukukimbia
watu hawapendi kufanya kazi kwa mtu wa kufoka foka na kushusha tuhuma na kukuumbua mbele ya watu wadogo kwako
atapata watu wa kujipendekeza na kumlamba miguu...serious people hawatapenda kufanya nae kazi...

Amuulize Mkapa alivyo mbembeleza Daudi Balali aje kuwa governor .....


Na yaliyomkuta Balali baada ya kuoverstay akajikuta kwenye himaya ya akili ndogo.

BTW, hata yeye hatapenda kufanya kazi na watu wenye uelewa kuliko yeye. He will not be comfortable. Angalia kufanya kampeni na Bulembo ni kwa sababu wana IQ sawa. Haya tumeona haya katika awamu inayoisha na nchi ilikotumbukizwa.

Ccm out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
[/COLOR][/B]
Na yaliyomkuta Balali baada ya kuoverstay akajikuta kwenye himaya ya akili ndogo.

BTW, hata yeye hatapenda kufanya kazi na watu wenye uelewa kuliko yeye. He will not be comfortable. Angalia kufanya kampeni na Bulembo ni kwa sababu wana IQ sawa. Haya tumeona haya katika awamu inayoisha na nchi ilikotumbukizwa.

Ccm out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



Mimi nimeshangaa hadi Kinana nae anamuona 'msaliti'
yaani kama ana ugonjwa wa 'kutomuamini mtu'
Iddi Amini alikuwa anaua watu kwa kuwahisi tu wanamsaliti

Sasa Kinana mtu ambae JK kambembeleza awe katibu CCM baada ya nafasi hiyo kuhitaji mtu
serious ....wengine kabla yake walipwaya..Kinana huyu ambae hata Mkapa alimbembeleza
awe campaign manager baada ya Sozigwa kuchemsha..leo Magufuli anajifanya hamuamini...ajabu kama ni kweli
 
Hajui hata tofauti ya mgombea urais na Rais..
anaanza kutoa order kama keshakuwa Rais
na mtu yeyote anaetoa order jukwaani ujue huyo mtu ni bogus
sababu angemuuliza chemba mhusika pengine angepewa majibu na kujua tatizo lilipo

Eti anaagiza maji yaanze kutoka kabla hajaapishwa..sasa kama pesa za mradi
hazijafika halmashauri wafanyeje?

Mkuu Umesahau Na Lowassa Kule Mwanza Alivomuagiza Wenje,usijaribu Kumkwepa Na Lowassa Pia
 
Yaani hivi unavyosema wewe ndo Waganda wengi walikuwa wanasema
mwanzoni Iddi Amin alipokuwa Rais.....i am sure unajua yalipoishia

Kwanini Utolee Mfano Iddi Amin Wa Miaka 90 Na Sio Mkapa Wa Juzi Juzi Hapa Na Tena Wa Nchini Kwetu Ambae Ni Design Ya Magufuli?
 
Lowasa ndo.raisi wetu mtarajiwa wengine wasindikizaji Ndugai ameshasoma alama za nyakati operesheni TOROKA UJE inazinduliwa rasmi kesho wale ambayo bado mnakaribishwa kwenye ukombozi.#UKAWA.
 
Ni kiongoz asiependa unafiki ukikosea hataki kukaa na kitu moyoni unachukua stahik yako maisha yanasonga na ndo imetoka hiyo hii imekaa poa
Alishawah kusema kuwa Maige alifanyiwa zengwe na Lembeli ili atoke kwenye uwaziri kwakua Lembeli alikuwa akiutamani uwaziri-Haya aliyaongea kwenye kampeni.....
 
Kwanini Utolee Mfano Iddi Amin Wa Miaka 90 Na Sio Mkapa Wa Juzi Juzi Hapa Na Tena Wa Nchini Kwetu Ambae Ni Design Ya Magufuli?

Iddi Amini ndio mfano mzuri wa kiongozi mpenda Masifa...
Magufuli hajawa Rais bado hatuwezi sema atafanana na Mkapa au Iddi Amini..
so mfano wa Iddi Amini ndo unafaa now ili ujumbe umfikie ajirekebishe
we fear the worst...na the worst ni 'Iddi Amin style'
 
Hajui hata tofauti ya mgombea urais na Rais..
anaanza kutoa order kama keshakuwa Rais
na mtu yeyote anaetoa order jukwaani ujue huyo mtu ni bogus
sababu angemuuliza chemba mhusika pengine angepewa majibu na kujua tatizo lilipo

Eti anaagiza maji yaanze kutoka kabla hajaapishwa..sasa kama pesa za mradi
hazijafika halmashauri wafanyeje?
Tingatinga la M@bua
 
Walizoea Kikwete Akisemea Ndani Ya Chama,walizoea Kikwete Kuwabeba Marafiki Zake Kwa Kutowaambia Ukweli,sasa Wajiandae..Magufuli Hana Haja Ya Kuita Kikao Ili Akwambie Unapewa Za Uso Huku Wananchi Wote Wanakuona Live,anakuacha Uugulie Kivyako.Kikwete Si Mpole? Huyo Hapo Magufuli Ambaye Anang'ata Tu Hajui Kupuliza....!!

Na vipi kuwanadi akina tibanjuka, chegge, ngelejea etc mbona hajawapa za uso??????

Hivi unadhani sisi hatuyaoni hayo, makufuli anahubiri ufisadi kweli toka moyoni??? Siamini
 
[/COLOR][/B]
Na yaliyomkuta Balali baada ya kuoverstay akajikuta kwenye himaya ya akili ndogo.

BTW, hata yeye hatapenda kufanya kazi na watu wenye uelewa kuliko yeye. He will not be comfortable. Angalia kufanya kampeni na Bulembo ni kwa sababu wana IQ sawa. Haya tumeona haya katika awamu inayoisha na nchi ilikotumbukizwa.

Ccm out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
:doh: Humu ndani HUMUUUUU
 
Back
Top Bottom