Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
Iddi Amini ndio mfano mzuri wa kiongozi mpenda Masifa...
Magufuli hajawa Rais bado hatuwezi sema atafanana na Mkapa au Iddi Amini..
so mfano wa Iddi Amini ndo unafaa now ili ujumbe umfikie ajirekebishe
we fear the worst...na the worst ni 'Iddi Amin style'
Lakini Kumbuka Iddi Amin Hakuwa Rais Kwa Kupigiwa Kura.Pili Alikuwa Ni Mwanajeshi Asiyekuwa Na Enough Education Kwahyo Kila Kitu Alikuwa Anaendesha Kijeshi Jeshi,tofauti Sana Na Magufuli