Nepotism?Mheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.
Magufuli ni pasua kichwa…ndio maana hata wenzao CCM hawamwelewi elewi..wengine wanadhani kwa jinsi anavyoikosoa CCM ni kama yuko UKAWA…Mheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.
Mheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.
Mheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.