Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli ni pasua kichwa…ndio maana hata wenzao CCM hawamwelewi elewi..wengine wanadhani kwa jinsi anavyoikosoa CCM ni kama yuko UKAWA…
Nakubaliana na waliopita kuwa Magufuli hakuandaliwa kabisa kuwa raisi ya awamu ya 5…hapa ni sawa kama ameokota embe kwenye muarobaini…yaani haiwezekani ukaiumbua serikali yako uliyoiyumikia kwa kipindi cha miaka 20,,,hajui anawapa upinzani silaha hapo za kuishambulia CCM?
rizione anauomba uwaziri baada yaa!&&
Nikidanganya nitapata faida gani?
Mheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.
Mbona chato mita 100 hamna majiMheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.
Kwani alikua Rais wa Chalinze?tarehe 25 sio mbali!
Mheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.
Mheshimiwa magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia ccm jimbo la chalinze ndugu rizi ataje matatizo sugu chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la chalinze. Hapo mh. Riziwani akataja "maji". Kwa dharau magufuli akamwambia ina maana wewe ulikuwa una uwezo wa kukaa na baba meza moja, mnakaa wote sebureni unashindwa kumweleza tatizo hili naye akakusaidia!?
Shame ccm.
CCM inategemea kuiba kura hivyo mambo ya kuogopa sijui kukosolewa hayapo. Tatizo kubwa la serikali inayoingia madarakani kwa njia hii ni kwamba viongozi wake wote hawawajibiki kwa wananchi kwani hawana hofu ya kuondolewa kwa kura. Hata hizi kampeni wanafanya ili kuuonyesha ulimwengu tu lakini wao wanasubira tu siku ile ya kura waibe.
Ndo maajabu ya fisiem baba raisi ...mtoto mbunge lakini wananchi wanateseke na maji.??...na baba rizi kakulia hapohapo chalize ndo waliomlea lakini leo kwishneyy hawakumbukiiii