mussa.lumala
Senior Member
- May 12, 2015
- 116
- 27
Mmmmh, viongozi hawa sina HAKIKA nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anabahati kuwa kwenye nchi ya wadanganyika vinginevyo asingepata kuraMagufuli ni pasua kichwa…ndio maana hata wenzao CCM hawamwelewi elewi..wengine wanadhani kwa jinsi anavyoikosoa CCM ni kama yuko UKAWA…
Nakubaliana na waliopita kuwa Magufuli hakuandaliwa kabisa kuwa raisi ya awamu ya 5…hapa ni sawa kama ameokota embe kwenye muarobaini…yaani haiwezekani ukaiumbua serikali yako uliyoiyumikia kwa kipindi cha miaka 20,,,hajui anawapa upinzani silaha hapo za kuishambulia CCM?
Kwani alikua Rais wa Chalinze?tarehe 25 sio mbali!
Hatakama mimi siwapendi CCM, ila mfano wa kuigwa upo kwa D. Filikunjombe alifanya kazi kubwa kwenye jimboni lake. R.I.P Deo
Uwezo wake mdogo sana sidhani kama atafaa
Magufuli ni pasua kichwa ndio maana hata wenzao CCM hawamwelewi elewi..wengine wanadhani kwa jinsi anavyoikosoa CCM ni kama yuko UKAWA
Nakubaliana na waliopita kuwa Magufuli hakuandaliwa kabisa kuwa raisi ya awamu ya 5 hapa ni sawa kama ameokota embe kwenye muarobaini yaani haiwezekani ukaiumbua serikali yako uliyoiyumikia kwa kipindi cha miaka 20,,,hajui anawapa upinzani silaha hapo za kuishambulia CCM?
Huu ni unafiki namba moja.Eti mtu anashangazwa na maneno haya lakini anashangilia na kurukaruka akisikia mtu aliyelawiti watoto wadogo watatolewa jela!@HAWA NI WATU KWELI.NI Mtanzania KWELI ANAENDESHA HIZI AGENDA AU NI KUTOKA WAPI
Hii ni hatari
Anajua urais wa babaake na huyo jamaa umebaki siku mbili tuu, hivyo kule kujikomba komba ndio basi tena. Ogopa sana mtu anayejinyenyekeza kwa sababu za cheo chako siku akijua cheo hicho huna tena! Anaweza kukuonyesha dharau hapohapo maana hakuhitaji tena.Kwa Magufuli anavyomuabudu JK, Nina hofu na usahihi ya taarifa ya mletamada!
Acheni uzushi...
Ndo maajabu ya fisiem baba raisi ...mtoto mbunge lakini wananchi wanateseke na maji.??...na baba rizi kakulia hapohapo chalize ndo waliomlea lakini leo kwishneyy hawakumbukiiii
Sumaye yupo CCM?mbona sumaye anaiponda serikal yake aliyokuwa wazir mkuu kwa miaka 10, anasema ccm haijafanya chochote kwa zaid ya 50yrs. tuwe wakwel tuache ushabik.