Elections 2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili

Atasema I won plesidential errection fair
 
Teh teh teh.....

Labda anaogopa watamchenjia katikati ya mahojiano na kuchomekea Kizungu:wink:.

Ha ha haaa...hata mimi nahisi kuwa Magu hawaamini hao BBC, anahisi watamchomekea kiinglishi tu.
 
Atasema I won plesidential errection fair

hahahahaha errection? neno linataka kuhusiana na jukwaa flani humu.na Magufuli atasajiliwa kwa kauli yake hiyo atakayoisema.
 
Na idadi ya samaki na mifugo yote Tanzania.

Utasikia

"Kwa sasa tumejenga kilomita za barabara elfu tano mianane themaniilni na sita katika mwaka huu wa fedha"


Yule ni muongo.
Hizo figures anajitungia na hayupo consistency kwenye hizo data zake.
Akirudia tena kusema anataja tofauti.
Ushawahi jiuliza hao samaki walihesabiwaje?
 


Na bakuli sijui ataenda nani?
Au specialist wa kutembeza bakuli?
 
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Itabidi huyo atakayekwenda kumkamata naye awe amejiandaa vyema, kwa kuwa si mnajua huyo jamaa ni mtu wa ma-pushup kwa hiyo yuko fit sana?
 
Tuko busy na kampeni
Waombeni bbc wawapatie maswali ili mumsaidie Dr. Pombe na Magufuli kujitayarisha kujibu.
Mhakikishieni kuwa atahojiwa kwa kiswahili au BBC waanzishe BBC Kisukuma kwa dharura ili iweze kumhoji Dr. Pombe.

BBC tafadhalini msitukoseshe uhondo.
 
Halafu ndio mtu eti alikuwa anataka mdahalo na Lowassa huyo? Hebu fikiria hii BBC Swahili anakimbia ingalikuwa ile ya kizungu jee?
 
inabidi mwenye kiti aliye mchagua awe aside him nakumkalimani
 
Ha ha haaa! Dr Mapushapu amejilostisha dakika za majeruhi. Naombeni clip ya akina Kikeke walipokuwa wanaongelea magumashi ya jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…