Elections 2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili

Elections 2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili

Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha ajabu, jamaa akasepa dakika za mwisho.

Kwa maswali yale aliyopigwa Lowassa, no wonder Magufuli anakimbia. Huu ni udhaifu pia.

Udhaifu mkubwa sana, unakimbia sasa nyadhifa akiipata atakimbia
 
Tujiandae Kwa aibu akishinda, mikutano ya kimataifa itakuwa shida
 
Tujiandae Kwa aibu akishinda, mikutano ya kimataifa itakuwa shida


lowassa hata kusimama hatoweza...

well kujua kingereza sio issue.... viongozi wa mataifa mangapi hawajui kingereza.....
 
Kuhutubia UN inaweza isiwe ishu. Si atakuwa anasoma tu kwenye karatasi. Halafu na alivyo hodari wa kukariri anaweza akaikariri hata robo tatu nzima ya hotuba.

Kasheshe akiwa sehemu kama Davos kwenye yale ma panel discussions ambapo mtu anakuwa hasomi hotuba.

Je, ataongea Kiswahili na kutumia mkalimani au ataongea Kiingereza?

Mimi natabari atachomoa kabisa kwenda huko Davos.

Ndo vzr atapunguzapo safari za nje..
 
Mtu akili yake inawaza barabara tu, unategemea atokee Kwenye mahojiano yanayohitaji fikra pana?
 
Dah nacheka sana mmemuandama mpaka basi hata ningekuwa mm ningekula corner ili kulinda heshima yangu
 
Hili ndo tatizo la PhD za njia ya DHL kama degree ya lyatonga mrema....hahahahahahahahahha
 
nimecheka sna jaman,wakubali tu kuwa lowasa mwanaume wa shoka,anawaburuza kama mbuzi na bado
 
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...


Haaaaaahaaaaaaahaaaaaaaaaaaaa....😂😂😂😂💏💏💏💏💏💏💋💋💋

PhD za ajabu sana duniani ziko Tz... oooh my..!!! Maskini labda ataulizwa umeenda jando..? Hapo sasa..!!! Hivi Magufuli ulishamsikia hata kwa Kiswahili interview yoyote..? This guy is a total joke..!!!

Haki ya Mungu, wasije muuliza in English..👐👐👐🙆🙆🙆 Tutaonekana wote ma bushmen...!!

Hii aibu ya mwaka huu, uuuhh..!!!

Is he running for presidency...!!? 😨😨

Haki ya Mungu..!!! Jesus Christ..🙆🙆👐👐🚶🚶🚶👐👐

Mtajua huko ma CCM..!!!
 
Back
Top Bottom