Elections 2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili


Udhaifu mkubwa sana, unakimbia sasa nyadhifa akiipata atakimbia
 
Tujiandae Kwa aibu akishinda, mikutano ya kimataifa itakuwa shida
 
Tujiandae Kwa aibu akishinda, mikutano ya kimataifa itakuwa shida


lowassa hata kusimama hatoweza...

well kujua kingereza sio issue.... viongozi wa mataifa mangapi hawajui kingereza.....
 

Ndo vzr atapunguzapo safari za nje..
 
Mtu akili yake inawaza barabara tu, unategemea atokee Kwenye mahojiano yanayohitaji fikra pana?
 
Dah nacheka sana mmemuandama mpaka basi hata ningekuwa mm ningekula corner ili kulinda heshima yangu
 
Hili ndo tatizo la PhD za njia ya DHL kama degree ya lyatonga mrema....hahahahahahahahahha
 
nimecheka sna jaman,wakubali tu kuwa lowasa mwanaume wa shoka,anawaburuza kama mbuzi na bado
 
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...


Haaaaaahaaaaaaahaaaaaaaaaaaaa....😂😂😂😂💏💏💏💏💏💏💋💋💋

PhD za ajabu sana duniani ziko Tz... oooh my..!!! Maskini labda ataulizwa umeenda jando..? Hapo sasa..!!! Hivi Magufuli ulishamsikia hata kwa Kiswahili interview yoyote..? This guy is a total joke..!!!

Haki ya Mungu, wasije muuliza in English..👐👐👐🙆🙆🙆 Tutaonekana wote ma bushmen...!!

Hii aibu ya mwaka huu, uuuhh..!!!

Is he running for presidency...!!? 😨😨

Haki ya Mungu..!!! Jesus Christ..🙆🙆👐👐🚶🚶🚶👐👐

Mtajua huko ma CCM..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…