Elections 2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili

Anaogopa nini. Tutakupaje kazi bila kukuhoji km unayosema kweli unamaanisha na hujakariri tu_? Km hatokei kwenye interview basi kazi hapewi!
 
Uwezo wa Magufuli ni mdogo mno. Ni mtu wa kukariri tu. Hafai kuwa Rais.
 
Aisee kuna watu huwa nawaambia kila siku kwamba kama tunatarajia kuwa na rais kama Magufuli tutapata shida sana jamaa hajisomi tutajutia miaka mitano yote na 2020 atakuwa ameshatukinai
 
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...


hahaaaa BBC waongo watamdanganya kuwa watamhoji kwa kiswahili akifika wanaanza kutiririka kizungu mwanzo kati mwisho...hatareeee
 
Teh teh teh.....

Labda anaogopa watamchenjia katikati ya mahojiano na kuchomekea Kizungu:wink:.

mkuu umenichekesha hapo pa kumchenjia, na alivo mshamba ataanza kuongea lugha za makabira ya tanzania yote eti ndo sera!!
 
Zaidi ya Barabara hakuna kingine anachojua.



Huko BBC ataleta aibu tupu, bora asiende.

Ndio shida yenu, mnadhani kuonekana na Wazungu ni jambo la maana kuliko kujenga nchi yenu...
 
hahahahhaaa hata huko atasema "haki ya Mungu ngoja niwe rais, mtaona kazi yangu! mimi ni kaaaaaaazzzzziiiiii"

hahaahaa ccm sijui walimwokota wapi huyu mluga luga 🙂
 
Ingekuwa ni Lowassa kakwepa mahojiano tusingesikia mwisho wa hiyo habari!
 

BBC waje akiisha kuapishwa. Kwa sasa ana mambo muhimu ya kukamilisha kampeni.
 
Jamaa kaona ndio njia pekee ya kuepuka masuali

:-D :-D :thumbup:
 
hahaaaa BBC waongo watamdanganya kuwa watamhoji kwa kiswahili akifika wanaanza kutiririka kizungu mwanzo kati mwisho...hatareeee

Ndo atajibu anaeongeaga jukwaani "lindi kuchele, mwanza mwangaluka" ha ha ha BBC wamenifurahisha ila wamsake wamhoji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…