WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Yule alikuwa anacheza na akili za watu hasa wajinga kama wewe,kwenye karne ya utandawazi hakuna siri za kijinga.Kweli mmeishiwa hoja kweli mnaongelea mtu au tasisi harafu hoja yako haina mashiko jaribu kufikiria kipindi kigumu alichopitia Magufuli kama corona halifanya nn je aliwaumiza hao watu au aliwasaidia sio kuandika ili kufurahisha mabwana zenu harafu Mh.MAGUFULI kamaliza kazi yake kwa sasa pambaneni na hali ya sasa
Mwache mzee wa watu apumzike...kwanza hayupo tena! Ongelea current issues na viongozi wakeWakuu, kwema
Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.
Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana
Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.
So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani
Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that
Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa
Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.
Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.
Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)
huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.
View attachment 2369424View attachment 2369425
Uongo ni dhambi.Sasa si afadhali kipindi hiki cha Samia kuliko kile kipindi Magufuli alitumia jeshi kuwapora na kisha zikaenda kumwaga baharini?
Thubutu asali itoke wapi!!!!??Umeamua kupuuza kabisa umuhimu wa serikali kwenye uchumi wa nchi.
Umeegemea supply na Demand.
Wakati wa Magufuli tulikuwa na nchi ya maziwa na asali.
Mtizamo wako ni assumption tu wala hauna mashiko.
Acha waendelee kulamba asali huku maisha yakiwa magumu kila kukicha.
Swala la Sukali: Ni kweli aliingilia na bei ilipanda lakini badae ilishuka.
Swala la Korosho ilikuwa ni mabadiliko ya sheria yaliyohitaji usimamizi. Wanasiasa wenzako wakaingilia kati, wakawa wananuanua kwa wakulima afu wanaficha na kuichonganisha serikali na wanachi. Badae mambo yalikaa mwenye msitari na maisha yakasonga.
Sasa unambie; Serikali yako ya TOZO, Imefanyia kazi jambo lipi ilikuleta unafuu kwa wananchi?
Kila kitu kimepanda bei na mambo ni magumu mno kwa wananchi.
Kama ulaya wananunua hayo mafuta,nchi za Asia zinanunua hayo mafuta kitu gani kinaweza kutufanya Sisi waafrika tusiweze kununua hayo mafuta basi Tu tunaongozwa na wajinga Sasa hivi lakini magufuli angekuwa na udhubutu na tungenunua basi Tu tunaongozwa na viongozi dhaifu.Nchi ipi ya Afrika imenunua mafuta kutoka russia,? Russia huwezi kununua mafuta sababu imewekewa vikwazo
Hujui chochote kwahiyo nyamaza Tu.Akili za Magufuli tunazifahamu zilivyokuwa kwa hiyo tunajua ambacho angefanya
Pumba tupu.Wakuu, kwema
Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.
Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana
Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.
So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani
Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that
Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa
Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.
Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.
Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)
huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.
View attachment 2369424View attachment 2369425
We ndo wa ovyo Sana Jpm Alikuwa vizuri Tu ingawa alikuwa na mapungufu yake.JPM alikuwa wa hovyo sana
Tunaongelea kile alichokipandaMwache mzee wa watu apumzike...kwanza hayupo tena! Ongelea current issues na viongozi wake
Amepanda nini? Kwani yeye ndio kasababisha bei za bidhaa kupanda leo hii? Nani yupo madarakani sasa? Je kipindi chake bei zilipanda hivi? Chuki zako binafsi dhidi ya Magufuli ndio zime kufanya uandike huu Uzi afu huelewi hata ulichokiandika mwenyewe!!!!Tunaongelea kile alichokipanda
Wakuu, kwema
Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.
Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana
Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.
So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani
Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that
Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa
Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.
Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.
Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)
huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.
View attachment 2369424View attachment 2369425
Amepanda chuki,ufisadi,tozo,ujinga,upumbavu,ukabila,uvyama na ukandaAmepanda nini? Kwani yeye ndio kasababisha bei za bidhaa kupanda leo hii? Nani yupo madarakani sasa? Je kipindi chake bei zilipanda hivi? Chuki zako binafsi dhidi ya Magufuli ndio zime kufanya uandike huu Uzi afu huelewi hata ulichokiandika mwenyewe!!!!
Kupanda kwa bei za bidhaa ni matokeo ya kupiga marufuku mikutano ya Vyama vya Siasa,Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019,Uchaguzi Mkuu 2020 na Bunge la chama kimoja alilolitaka Magufuri.Amepanda nini? Kwani yeye ndio kasababisha bei za bidhaa kupanda leo hii? Nani yupo madarakani sasa? Je kipindi chake bei zilipanda hivi? Chuki zako binafsi dhidi ya Magufuli ndio zime kufanya uandike huu Uzi afu huelewi hata ulichokiandika mwenyewe!!!!
Hoja ni uchumi wetu ulikuwa comparatively imara wakati wa Covid-19 kuliko nchi nyingi duniani.