Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mimi nimezaliwa ni mchokozi tu halafu mbishi.Huwa napima visirani vya waheshimiwa.Usijali mkuu.Yaani wewe comments zako zote hua naishia kucheka..dah😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimezaliwa ni mchokozi tu halafu mbishi.Huwa napima visirani vya waheshimiwa.Usijali mkuu.Yaani wewe comments zako zote hua naishia kucheka..dah😆
😁😁😁😁 Nonsense kwa sababu nimekuelza ukweli na wapuuzi ndio mkawadanganye..Nonsense,😎
Sio wangelipa walikua wanalipa tayari, alianza na tozo ya sh100 kwenye mafuta ikamnogea mwaka uliofuata ikawa sh200 na watu hawakulalamika sababu ya kuogopa wasiojulikana,Na tozo watu wangelipa na hakuna wa kunyanyua mdomo..
Ujue mkiwa na Rais mwenye kiburi huwa ni disaster,imagine ndani ya miaka yake 5 mafuta ya magari yaliwahi adimika mara 2,sukari mara 2 na saruji mara 1 na hakukuwa na balaa kama za Uongozi wa Sasa..
Mwendazake angekuwepo Hali ingekuwa mbaya na angekuwa katili zaidi akiogopa kupinduliwa.
Una elimu gani?!Wakuu, kwema
Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.
Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana
Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.
So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani
Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that
Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa
Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.
Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.
Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)
huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.
View attachment 2369424View attachment 2369425![]()
Hivi unajua kwenye matamshi hakuna tofauti ya kutamka mungu na Mungu?Ndugu nakupa ushauri bure.
Huyo unayemzungumzia ni mungu wao.
Wajinga na wapumbavu huwaambii chochote kuhusu huyo
Huu Mzimu wa Magufuli unatesa sana hawa Bavicha sijui Bawacha.
Wanakaugonjwa unao itwa MagufuliFever.
Mtu alishazikwa lakini still mpaka leo anajadiliwa.
What means...???
Hata wewe utakuwa mbolea na mbaya zaidi kwa dhiki zako unaweza usiwe mbolea bora kwenye udongo [emoji23][emoji23]Kafa, kageuka mbolea sasa hivi, fura kwa hasira hadi upasue simu
Hata wewe watakutafuna tu wakati wako ukifika hakuna ujanja kwa hilo Acha virojaAlishikwa yeye ndiyo maana analiwa na mchwa mpaka sasa hivi.
Hitler haongelewi kama JPM, JPM anawatesa sana nyie walamba asali.Tunamuongelea hadi Hitler itakuwa huyo dictator uchwara wa juzi?
Yaani huelewi limeingiaje💩💩kabisa!Sasa jina la magufuli limeingiaje hapo?
Huwa nafurahi sana ninapoona mnamsema jinsi alivyokuwa mweupe kichwani. Kaharibu sana nchi yetu.Huwa nikikumbuka sakata la sukari na korosho hakika dhalimu alikuwa na maamuzi ya hovyo Sana ila ndo rais aliye pendwa na masikini wengi kwa jina la rais wa wanyonge
Alikuwa rais wa hovyo mpuuzi kuwahi kutokea kwenye USO wa duniaNaongezea Mama mbali ya mzigo mkubwa miradi mikubwa na kimkakati aliyo ridhi kapambana kupata mikopo nafuu na wahisani huko duniani kwa diplomasia ya uchumi.
JPM mbali ya kumaliza kukamua akiba mfano mifuko hifadhi na Watanzania wengine Hadi kufikisika na mauti, alinza kukopa mikopo ya kibiashara kwa riba kubwa!
Angefanya Nini kwa mtetemo huu uliokumba Dunia?
Tumshukuru Mola kwa yote.
Labda 'mungu' Wanyonyi yule wa Kenya!Chakula cha kutosha na mfumko wa bei ulikua reasonable kabisa. Hadi tulikuwa tunauza chakula kwa WFP. JPM alikuwa na Mungu.
"Kwa kuwa sisi Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayozingatia misingi ya Uhuru,haki,udugu na amani" kipengele cha kwanza katika Utangulizi wa Misingi ya Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.Mfumo imara! Hupi?
Umesikia yaliyotokea Mara? umesikia aliyokutanayo Catherine Ruge? ndicho unacho kizungumzia au?"Kwa kuwa sisi Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayozingatia misingi ya Uhuru,haki,udugu na amani" kipengele cha kwanza katika Utangulizi wa Misingi ya Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Mimi siyo muaji,mimi sikandamizi watu,mimi sibagui watu,mimi nathamini kila Mtanzania awe ccm ni ndugu yangu,awe chadema ni ndugu yangu,awe ACT ni ndugu yangu,awe tlp ni ndugu yangu,awe chauma ni ndugu yangu,awe wa rangi gani ni Mtanzania kwa hiyo sikuwahi mchukia au kumwonea mtu yeyote kwa matakwa yangu hivyo basi nitakufa kama wanadamu wengine wafaavyo ila siyo kifo cha dharau kama chaHata wewe watakutafuna tu wakati wako ukifika hakuna ujanja kwa hilo Acha viroja
Hayo hawezi kuisha ila baraka za kipumbavu za Tembeeni kifua mbele nitawalinda hazipo tena.Umesikia yaliyotokea Mara? umesikia aliyokutanayo Catherine Ruge? ndicho unacho kizungumzia au?
Hitler haongelewi kama JPM, JPM anawatesa sana nyie walamba asali.
Kuna mda mnatamni mbomoe hata daraj ala Ubungo/Ubungo fly over.
Kila mara mnalialia tu. Fanyeni kazi la sivtyo 2025 mtaenda mkafagie kabli lake ndio mpewe kura.Nani anateswa marehemu mshamba?