Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

Umeamua kupuuza kabisa umuhimu wa serikali kwenye uchumi wa nchi.

Umeegemea supply na Demand.

Wakati wa Magufuli tulikuwa na nchi ya maziwa na asali.

Mtizamo wako ni assumption tu wala hauna mashiko.

Acha waendelee kulamba asali huku maisha yakiwa magumu kila kukicha.

Swala la Sukali: Ni kweli aliingilia na bei ilipanda lakini badae ilishuka.

Swala la Korosho ilikuwa ni mabadiliko ya sheria yaliyohitaji usimamizi. Wanasiasa wenzako wakaingilia kati, wakawa wananuanua kwa wakulima afu wanaficha na kuichonganisha serikali na wanachi. Badae mambo yalikaa mwenye msitari na maisha yakasonga.

Sasa unambie; Serikali yako ya TOZO, Imefanyia kazi jambo lipi ilikuleta unafuu kwa wananchi?

Kila kitu kimepanda bei na mambo ni magumu mno kwa wananchi.

Wakati wa Magufuli ilikuwa nchi ya maziwa na asali, au mimi sijui kusoma vizuri nini? Au unadhani hatujui bidhaa nyingi zilianza kupanda bei kutokana na utawala wa ubabe wa kishamba wa Magufuli nini?
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Kweli elimu yenu inwafanya muwe wajinga kiasi hiki!
Msomi unatetea upumbavu daaa!
 
Wakati wa Magufuli ilikuwa nchi ya maziwa na asali, au mimi sijui kusoma vizuri nini? Au unadhani hatujui bidhaa nyingi zilianza kupanda bei kutokana na utawala wa ubabe wa kishamba wa Magufuli nini?
Kwajiyo saizi bidhaa zimeshuka bei?
 
Hakuna Ushaidi kwamba Mzalendo wa Kweli alikufa kwa Corana sawa Mzalendo JPM alifariki kwa Shida ya Moyo na ndio taarifa iliyotolewa

wewe hizo taarifa za kufariki kwa corana umetoa wapi?? Acha uchochezi
Hizo ni taarifa za kulinda kile alichokuwa anakiamini kuwa hakuna ugonjwa wa corona Tanzania ila shida ya upumuaji na moyo ipo kwa falsafa zake na wajinga mkaamini mwisho wake corona ikamfagia kama upepo.
 
Huu ni ujinga mkubwa, ingekatisha tamaa watu kulima kwa kuwa soko likiwa zuri wanazuiwa

Afadhali serikali ya Samia inanunua mahindi ya akiba na kuyatoa kipindi ambacho kuna uhaba, kitu ambacho Magufuli alisema ni ujinga
My God. Huyo ni kikwete siyo Samia.

Yaani unaacha chakula kiishe afu uje uanze kugawa hehe he heee takataka

Akili za pimbi hizi
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426

Wewe badala ya kuongelea Micro (ss vs dd) vs Macro economic factors, unaongelea Samia vs Magufuli. Sasa sijui huo ndiyo uchumi wa wapi huo.
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Punguani wengi sana nowadays.
 
Wakati wa Magufuli ilikuwa nchi ya maziwa na asali, au mimi sijui kusoma vizuri nini? Au unadhani hatujui bidhaa nyingi zilianza kupanda bei kutokana na utawala wa ubabe wa kishamba wa Magufuli nini?
Eti vilianza. Bei ya mafuta ilikuwaje?

Bei ya Nafaka ilikuwaje?


Sasa hivi kila kitu kiko juuu..hadi aibu.
 
Ni sukari sio sukali, vipi mbaazi, Tumbaku, rambirambi za tetemeko, rambirambi za ajali ziwa victoria, mafao ya wastaafu, riba za mikopo elimu ya juu, kukataza watu wasichukue mafao yao kabla ya kutaafu, na mambo mengine kibao.

Magu alikuwa raisi wa vitu na sio watu, asingetoa hata sh 10 kufinance inflation.
Hapo kwenye mafao kabla ya kustaff ni sahihi kabisa. Uki - staff utakuja kushukuru.
 
Eti vilianza. Bei ya mafuta ilikuwaje?

Bei ya Nafaka ilikuwaje?


Sasa hivi kila kitu kiko juuu..hadi aibu.
Hata yeye angekuwepo bei bado ingekuwa juu. Kwa taarifa yako mafuta ya kula yalianza kupanda wakati wake baada ya yeye kuvuruga soko la mafuta. Usidhani kuwa tumesahau alipojifanya anapiga marufuku mafuta toka nje. Toka wakati huo mpaka leo hayajawahi kushuka. Sukari ilipanda bei akawa anatumia kina Makonda kupitia kwenye godowns za wafanyabishara. Sasa hivi hali ndio ingekuwa mbaya zaidi. Bora Mungu aliingilia kati.
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Kulisema vibaya jina la Magufuli na kujaza watu UPUMBAVU ni ujuha ulionao usiotutisha
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Hujaweka sababu ya kueleweka ya kiuchumi ni porojo Tu unaongea sababu ya bidhaa kupanda bei ni mafisadi yanataka kurudisha hasara waliyopata Enzi za Magufuli.Magufuli angekuwepo tusingeona tozo za ovyoovyo na bidhaa za vyakula kupanda ovyoovyo.
 
Back
Top Bottom