Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

Kwa watetezi wa Magufuli najua mna hisia kali sana, lakini hebu jaribuni kujibu hoja kwa hoja, sio matusi

Hebu niambieni ni mambo gani Magufuli angefanya au alishafanya ambayo yangeshusha bei za vitu

Wafrica ni wajinga sana. Magufu has gone wala hausiki na bei kupanda kwann usimshauri Bi Tozo angalie namna ya kushusha bei kwenye bidhaaa?
 
Ni nini cha pekee alichofanya Magufuli ambacho hakijawahi kufanyika huko nyuma?

Kama una akili na ufahamu na uwezo wa kufuatilia mambo, utagundua kuwa Magufuli alikuwa anaendesha siasa za uwongo kuwahadaa wajinga wamwone kuwa anafanya mambo makubwa sana ambayo hayajawahi kufanyika, wakati hakuna hata moja lililokuwa jipya
Hakpa kazi tu ilikuwa inaeleweka.
 
Hivi kwanini humu jukwaani watu wanapenda kumjadili Magufuli kana kwamba wengine tulikuwa watoto wakati anatawala na tumejiunga JF wakati Magufuli amefariki!

Kila Kiongozi anafanya uamuzi kulingana na situation aliyoikuta, Magufuli na yeye aliamua kulingana na falsafa yake Kama walivyokuwa wakifanya watangulizi wake na Samia na yeye anapambana na hali yake kulingana na Mazingira aliyoyakuta;hali ya kiuchumi aliyoikuta ameamua kuweka tozo na kukopa zaidi 🤣🤣🤣

Kwaiyo nikupoteza muda kuwalaumu wanasiasa,kwasasa tutembee kifua mbere na Mama!
 
Actually huyu dikteta wala watu wenye akili hawataki hata kumjadili, sema wafuasi wake wakianza kuleta propaganda lazima tuweke sawa
Sasa hapa nani kaleta propaganda? Fanyeni yenu mbona mnaficha madhaifu yenu kwa mgongo wa Magufuli? Inflation ilianza kipindi cha Covid ila sisi kwenye Tanzania yetu hatukuwa na Inflation! Sasa kazi kwenu acheni kujificha kwenye mgongo wa jiwe kwa madhaifu yanu, mnasemehe mahera kibao huko kwenye makampuni ya madini alafu mnakuja kuwakamua wananchi wenu matozo mlivyo na akili za ushuz
 
Tupo awamu ya sita kijana.

Maswala ya kuturudisha nyuma achana nayo.

Lete mambo ya awamu hii ya kulamba asali na kula kwa urefu wa kamba.

Au unaogopa kwa kuwa umekamatia chaka lako unatupiga tu taratibu??
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Makala ndefu imejaa ujinga na upumbavu
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Na tozo watu wangelipa na hakuna wa kunyanyua mdomo..

Ujue mkiwa na Rais mwenye kiburi huwa ni disaster,imagine ndani ya miaka yake 5 mafuta ya magari yaliwahi adimika mara 2,sukari mara 2 na saruji mara 1 na hakukuwa na balaa kama za Uongozi wa Sasa..

Mwendazake angekuwepo Hali ingekuwa mbaya na angekuwa katili zaidi akiogopa kupinduliwa.
 
Si upo awamu ya sita ya kulamba asali endelea kulamba sio mnaharibu huko. Kumtaja marehemu akukuzuii kulamba buyu la asali.
 
Sasa hapa nani kaleta propaganda? Fanyeni yenu mbona mnaficha madhaifu yenu kwa mgongo wa Magufuli? Inflation ilianza kipindi cha Covid ila sisi kwenye Tanzania yetu hatukuwa na Inflation! Sasa kazi kwenu acheni kujificha kwenye mgongo wa jiwe kwa madhaifu yanu, mnasemehe mahera kibao huko kwenye makampuni ya madini alafu mnakuja kuwakamua wananchi wenu matozo mlivyo na akili za ushuz
Mahera ndio nini? Jifunze kwanza kiswahili
 
Back
Top Bottom