Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

Huu Mzimu wa Magufuli unatesa sana hawa Bavicha sijui Bawacha.
Wanakaugonjwa unao itwa MagufuliFever.

Mtu alishazikwa lakini still mpaka leo anajadiliwa.
What means...???
 
Mpaka anajadiliwa na wakati kasha kufa ujue alikua mwamba kweli na ukiona wanyonge ndio walikuwa wanampenda jiulize mara mbili mbili maana hao ndio wanajua wanacho kihitaji kutoka kwa viongozi na sio mawazo yako ndio yasababishe tumchukie au tuone hakufanya la maana lolote kwa wananchi endeleeni tu kula asali ya taifa inayo tokana na nguvu ya hao wanyonge

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huu Mzimu wa Magufuli unatesa sana hawa Bavicha sijui Bawacha.
Wanakaugonjwa unao itwa MagufuliFever.

Mtu alishazikwa lakini still mpaka leo anajadiliwa.
What means...???
Magufuli hata CCM wenyewe wanamuona kichaa, nyie wanyonge msiokuwa na akili ndio mnamuona wa maana
 
Magufuli hata CCM wenyewe wanamuona kichaa, nyie wanyonge msiokuwa na akili ndio mnamuona wa maana
Aaaah alijua kutufurahisha maana hatukuchoka kufwatilia taarifa ya habari.
Kuhusu wafanyakazi hewa na Wapigaji wa madini.
Sio hawa wa asaivi hatuji chochote zaidi ya Toz kama mapato yenu serikalini
 
Huyu Magufuli naanza kuona licha ya kutawala kwa muda mfupi, lakini anaonekana ndie ataongoza kutawala vichwa vya wengi zaidi ya marais waliopita.

Ukiuliza kwanini anasemwa hivi, utajibiwa lazima asemwe kwa mabaya yake, naona wajinga siku hizi wanajificha kwenye kivuli cha ubaya wa Magufuli, ili wao waonekane/wajione watakatifu, huku ni kujidanganya tu.

Magufuli hakuwa malaika, lazima kama mwanadamu wa kawaida alikuwa na mazuri na mabaya yake, lakini kwa baadhi hili hawalioni, wao kwao Magufuli alikuwa ni shetani tu, this is insanity & mental slavery.

Nikitizama vizuri hoja za mleta mada, naona ameamua kulaumu kwa kujua/kutojua, ili aendeleze tu kasumba ya kumsema vibaya Magufuli.

Mfano, anazungumzia sakata la sukari 2016 lililosababisha bei ya bidhaa kupanda, analaumu uamuzi wa Magufuli kuzuia uagizwaji wa sukari toka nje, kwamba huo ndio ulisababisha bei ya sukari kupanda.

Kwangu haya ni mawazo ya mtu anayefikiria kwa upande mmoja tu, tena negatively; kwasababu kama angeamua kufikiria positively ule uamuzi wa Magufuli kuzuia sukari toka nje, naamini angepata jibu zuri tu, kwamba alikuwa ana promote viwanda vyetu vya ndani, na kukuza ajira.
Ni ajira zipi na ngapi zilizozaliwa kipindi cha Magufuri? Siyo kwamba ukikosoa upupumbavu wa Magufuri ni dalili ya kutokufikiria vizuri,la hasha acha wanaoona kuwa Magufuri alikuwa mtendaji mzuri wamsifie na kumlilia na wale walioathirika na utawala wake mbovu wakosoe kwa namna wanavyoweza na kufarijika maana wamepata ukombozi,kila mtu acheze gemu zake.
 
Jpm Kwenye utawala wake kumekuwepo na changamoto za hapa na pale na jitihada za kushughulikia zilionekana.

Basi kwa utawala wa mama tungependa kuona jitihada za kushughulikia changamoto mbalimbali zinazojitokeza l.
Ametuliza hali ya siasa nchini na kuweka mifumo imara kwenye taasisi mbalimbali.
 
Ni nini cha pekee alichofanya Magufuli ambacho hakijawahi kufanyika huko nyuma?

Kama una akili na ufahamu na uwezo wa kufuatilia mambo, utagundua kuwa Magufuli alikuwa anaendesha siasa za uwongo kuwahadaa wajinga wamwone kuwa anafanya mambo makubwa sana ambayo hayajawahi kufanyika, wakati hakuna hata moja lililokuwa jipya
Uko vizuri sana ubarikiwe ila wajinga na wapumbavu hawaamini katika hayo uliyowaelezea.
 
Umeamua kupuuza kabisa umuhimu wa serikali kwenye uchumi wa nchi.

Umeegemea supply na Demand.

Wakati wa Magufuli tulikuwa na nchi ya maziwa na asali.

Mtizamo wako ni assumption tu wala hauna mashiko.

Acha waendelee kulamba asali huku maisha yakiwa magumu kila kukicha.

Swala la Sukali: Ni kweli aliingilia na bei ilipanda lakini badae ilishuka.

Swala la Korosho ilikuwa ni mabadiliko ya sheria yaliyohitaji usimamizi. Wanasiasa wenzako wakaingilia kati, wakawa wananuanua kwa wakulima afu wanaficha na kuichonganisha serikali na wanachi. Badae mambo yalikaa mwenye msitari na maisha yakasonga.

Sasa unambie; Serikali yako ya TOZO, Imefanyia kazi jambo lipi ilikuleta unafuu kwa wananchi?

Kila kitu kimepanda bei na mambo ni magumu mno kwa wananchi.
Ni sukari sio sukali, vipi mbaazi, Tumbaku, rambirambi za tetemeko, rambirambi za ajali ziwa victoria, mafao ya wastaafu, riba za mikopo elimu ya juu, kukataza watu wasichukue mafao yao kabla ya kutaafu, na mambo mengine kibao.

Magu alikuwa raisi wa vitu na sio watu, asingetoa hata sh 10 kufinance inflation.
 
Mpaka anajadiliwa na wakati kasha kufa ujue alikua mwamba kweli na ukiona wanyonge ndio walikuwa wanampenda jiulize mara mbili mbili maana hao ndio wanajua wanacho kihitaji kutoka kwa viongozi na sio mawazo yako ndio yasababishe tumchukie au tuone hakufanya la maana lolote kwa wananchi endeleeni tu kula asali ya taifa inayo tokana na nguvu ya hao wanyonge

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanyonge wa Chato na sukuma gang.
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Yule mzee hakufaa kuwa Rais wa hii Nchi kabisa, alikuwa mweupe kichwani kiuchumi, alichokuwa kajaliwa Ni roho mbaya na chuki
 
Kwa watetezi wa Magufuli najua mna hisia kali sana, lakini hebu jaribuni kujibu hoja kwa hoja, sio matusi

Hebu niambieni ni mambo gani Magufuli angefanya au alishafanya ambayo yangeshusha bei za vitu
Tuongee ya sasa, achana na dhana.
 
Wakuu, kwema

Kama mnavojua kuna inflation kubwa kila nchi duniani nimeweka screenshot chache kuonyesha hilo.

Sasa watu wasioelewa wanasema inflation imesababishwa na Samia na Magufuli angekuwepo bidhaa zingekuwa chini sana

Kanuni ya msingi kabisa kwenye uchumi ni kuwa bei za vitu zinakuwa determined na demand vs supply au uhitaji vs upatikanaji.

So uhitaji wa bidhaa fulani ukiwa mkubwa ila upatikanaji wake ukawa mdogo lazima hiyo bidhaa itapanda tu bei hata rais angekuwa nani

Mfano mavuno ya mahindi mwaka huu yamekuwa kidogo kutokana na ukame lakini uhitaji wa mahindi ni mkubwa, so matokeo yake lazima ni bei ya mahindi kupanda, simple as that

Sasa hebu tuangalie historia ya Magufuli katika ku deal na matatizo ya kiuchumi yalivyokuwa na tutajua kama angeleta unafuu katika hali ya sasa au ndio angeogeza balaa

Sakata la sukari: Kama mnavyokumbuka mwaka 2016 Magufuli kwa papara alipiga marufuku sukari kutoka nje ya nchi, matokeo yake ni sukari kuwa adimu hence bei yake kupanda, ila cha ajabu kwa uelewa mdogo wa Magufuli, alianza kusema wafanyabishara ndio wanafanya hujuma kupandisha sukari na akaagiza sukari kusakwa na jeshi, matokeo yake sukari ikapanda zaidi.

Sakata la korosho: Kuna muda korosho zilinunuliwa kwa bei nzuri sana huko Mtwara, watu wakafaidi, hii ni kwa sababu bei katika soko la dunia ilikuwa nzuri, so hata wafanyabishara watanunua kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima, ila misimu uliofuata bei ikashuka, kwenye soko la dunia, so hata wafanyabishara nao wakatoa bei ndogo huku, Magufuli kwa akili zake pia akasema ni wafanyabishara wanamhujumu, akaagiza jeshi kununua korosho wazibangue hata kwa mabomu, matokeo yake ni korosho zile zilishindikana kubanguliwa na zikawa zinaozea kwenye maghala na watu wengi waliporwa korosho zao bila kulipwa.

Sasa kwa mifano hiyo michache tu inaonyesha jinsi gani Magufuli alivyokuwa akifanya vitu kwa impulse, (kwa hasira bila kufikiri)

huyo mtu angekuwa rais kipindi hiki ambacho dunia ina struggle na inflation unajua angefanya situation kuwa mbaya zaidi, pengine angeagiza jeshi lifanye biashara ya mafuta ili yashuke bei.

View attachment 2369424View attachment 2369425
screenshot_20220721-072018-png.2369426
Najua Uzi Huu umeletwa maksudi
lkn nijibu kwa Hoja tuu

Mzalendo wa kweli JPM kama aliweza kukontrol Corana Iliyowasumbu hata hao wanajifanya wanajua technologia (MABEBERU) hata hichi kidogo angeweza vizri tuu na tusingefikia kwenye matozo,mabei ya ajabu ya sukari na bidhaa muhimu,
Na kila nchi ina utaratibu wake wa kiuchumi ,mfano leo mahindi gunia ni Tsh 200k lkn JPM angekuwepo hizi zoote tusingeona maana angezuia mahindi kuuzwa njee na tungekuwa na chakula cha kutosha,

kama ambavyo umesema tunajibu hoja kwa hoja ,nawe nijibu ,matusi sitakii
 
Najua Uzi Huu umeletwa maksudi
lkn nijibu kwa Hoja tuu

Mzalendo wa kweli JPM kama aliweza kukontrol Corana Iliyowasumbu hata hao wanajifanya wanajua technologia (MABEBERU) hata hichi kidogo angeweza vizri tuu na tusingefikia kwenye matozo,mabei ya ajabu ya sukari na bidhaa muhimu,
Na kila nchi ina utaratibu wake wa kiuchumi ,mfano leo mahindi gunia ni Tsh 200k lkn JPM angekuwepo hizi zoote tusingeona maana angezuia mahindi kuuzwa njee na tungekuwa na chakula cha kutosha,

kama ambavyo umesema tunajibu hoja kwa hoja ,nawe nijibu ,matusi sitakii
Lakini baadaye Corona ikammaliza kilaini.
 
Back
Top Bottom