Magufuli aokoa maisha ya Lemutuz, ilibaki dakika 30 apoteze maisha

Magufuli aokoa maisha ya Lemutuz, ilibaki dakika 30 apoteze maisha

NATAKA NIKOMENT NENO FLANI LAKINI NASIKIA HASIRA SANA
BORA NINYAMAZE TU
 
Nyie wagen jf bila shaka. Lemutuz ni kichekesho thread yake uwa Inatumika kama sehemu ya Kure fresh mind. Wewe binadamu gani mwenye miaka zaidi ya 55 anaweza kuandika kama Le bwenyenye, alibakiza dakika 30 afe. Huyu ni age mate wa anko magu laki lemutuz anaishi umri wa kijana wa 20s ajitambui kabisa huyu mstaafu...
Hahaha
 
Huu ni ujingaa uliyo pitiliza kumfananisha kiumbe na Mungu mnamsifia mtu mpk mnakufuru

Kwa roho uliyoonyesha ya chini Mkuu...hauna tofauti na waliokwapua msibani kwa Marehemu Baba Jacky machameni.
 
hahahaha kwweli Lemutu ni nyara za taifa hakika..... hivi amejuaje zilibaki dakika 30 afe
 
Endeleeni kumkufuru Mungu nyie Wajinga Hakuna sikosei Ila mmoja tu naye ni Mungu Pekee!
 
Nyie wagen jf bila shaka. Lemutuz ni kichekesho thread yake uwa Inatumika kama sehemu ya Kure fresh mind. Wewe binadamu gani mwenye miaka zaidi ya 55 anaweza kuandika kama Le bwenyenye, alibakiza dakika 30 afe. Huyu ni age mate wa anko magu laki lemutuz anaishi umri wa kijana wa 20s ajitambui kabisa huyu mstaafu...
Ana kama 65 hivi..acha kumdhalikisha umri
 
Mwenzake alisema kuwa isingekuwa girlfriend wake angekuwa ashakufa.
Hakumaliza muda akafa kweli. Sasa ngoja tuone huyu, badala ya kumshukuru Mungu anajisahau anamshukuru binadamu mwenzake ili mradi tu apewe cheo cha ukuu wa wilaya sijui.
Le mutuz the genius....hapo anasikilizia cheo soon
 
Hili bao bora lingepigwa puli tu...huyu jamaa ni hasara sana
Hahahah! Kwahiyo mkuu unamaanisha mzee wetu Malecela badala ya kusimamia kucha ni bora angechukua hata gwanji akazama bafuni?
 
Hahahah! Kwahiyo mkuu unamaanisha mzee wetu Malecela badala ya kusimamia kucha ni bora angechukua hata gwanji akazama bafuni?
Ndio maana hata wataalamu wanashauri kabla ya kusimamia ukucha mtu afanye maombi kidogo ili kuepusha kupata watoto kama le mutuz...

Kupata mtu kama lemutuz bora upuge puli tu bao liende kwenye mfereji wa maji ya bafuni
 
Huu ni ujingaa uliyo pitiliza kumfananisha kiumbe na Mungu mnamsifia mtu mpk mnakufuru
Wamejua udhaifu wake na wanatumia fursa vizuri.
1. Msifie
2. Msifie
3. Msifie

Baada ya hapo kaa pembeni usubiri neema. Ukiona kimya, anza mchakato upya.
 
Mimi nimeelewa anamshukuru Mkulu kwa yote aliyofanya na kuongeza matibabu kupanda juu kwa wagonjwa kuhudumiwa bila wa mahospitali kujali huyu ni mnyonge au la.. hizo dk 30 zitakuwa zile za huduma alizopata mwanzoni na kama hasingezipata.. ingekuwa habari ingine..

Wote tunajua matunda tunayochuma nchini kutokana na juhudi za Mkulu wetu.

Ila katulia shaaaa.. lazima anaona kama yupo jela kwa kukosa kufanya mizunguko yake😀
Ugua pole Le Mutuz
 
Hata uswahilini kina mama wauza gongo wote wanamshukuru Magu, maana biashara sasa hivi inakwenda vizuri. Hii ni kwasababu watu wengi wanakosa hela za bia
 
😂 😂😂
kumbe Magu ana namba ya simu ya Malaika mtoa roho?? kweli huyu ndie Malaika Mkuu!
 
Eti kwa magufuli kila goti litapigwa. Daah hizi ni kufuru.

You little dove go and learn something it will save you one day.
 
Mobimba Le Nyeyenye kamshukuru Rais JPM kwa kuokoa maisha yake maana ilibaki dakika 30 tu afe.

Hii inadhihirisha ile kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwamba inabidi hata Mungu amshukuru JPM. Kwa hakika kwa JPM kila goti litapigwa, sote tunashuhudia jinsi mabeberu yanavyohaha kuingia ikulu kujipendekeza na kumpongeza kwa kazi nzuri anayofanya ya KUIMARISHA BIASHARA, MAISHA YA WANANCHI, UMOJA AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO na hii tena ya kuokoa maisha ya mtu muhimu kabisa LE MUTUZ ni jambo kubwa sana haswa ukichukulia ya kwamba muda si mrefu atateuliwa kuwa Balozi wa kudumu wa Tanzania huko UN.

View attachment 1094956
Biblia inasema wazi "Amelaanika anayemtegemea mwanadamu".
 
Back
Top Bottom